Mimi Napita Tu
Ukiona post bado ipo wazi faham bado anatafutwa kakaKwa nini wanaotafuta wafanyakazi, pamoja na wanaotafuta kazi hawarudishi mrejesho kama wamefanikiwa au la!?
Au ni ishu za kanjanja, inatakiwa ukitafuta kitu humu, then ukapata au ukakosa, urejeshe majibu ili kutia moyo wengne wanohitaji kazi au wafanyakazi.