Mwagito84
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 235
- 705
Kama unamakasiriko usije hapa. Sitaki ushauri, Majukwa ya maadili na ibada yapo. Usinifundishe namna ya kubehave najielewa vyema.
Ukinitukana nakuloga. Sasa skia.....Uhamisho wa kikazi unasumbua sana. We fikiria Mke yuko Geita kikazi na mumewe yuko Namtumbo Songea mwaka wa 5 na uhamisho umekuwa kizungumkuti na majaribu ya kuangukia kwenye mitihani ni kubwa sana.
Kwa maana hiyo natafuta Mpenzi ambaye ana mpenzi wake ila yuko mbali kama mimi ili tupeane lift wakati huu wa kipindi cha mpito. Niko serious na nahitaji bibie anaye jiheshimu na awe serious na awe amampenda mwenzi wake na kumheshimu kama mimi ninavyofanya.
Jambo la msingi ni HIV test lakini pia matumizi sahihi ya Condom Baadhi ya faida itakuwa pamoja na kusaidiana kwa hali na mali. My age is 30+ njoo tuyajenge. Angalizo hakuna kunogewa. Ukipendezwa njoo tuyajenge na kila kitu ni SIRI.
Ukinitukana nakuloga. Sasa skia.....Uhamisho wa kikazi unasumbua sana. We fikiria Mke yuko Geita kikazi na mumewe yuko Namtumbo Songea mwaka wa 5 na uhamisho umekuwa kizungumkuti na majaribu ya kuangukia kwenye mitihani ni kubwa sana.
Kwa maana hiyo natafuta Mpenzi ambaye ana mpenzi wake ila yuko mbali kama mimi ili tupeane lift wakati huu wa kipindi cha mpito. Niko serious na nahitaji bibie anaye jiheshimu na awe serious na awe amampenda mwenzi wake na kumheshimu kama mimi ninavyofanya.
Jambo la msingi ni HIV test lakini pia matumizi sahihi ya Condom Baadhi ya faida itakuwa pamoja na kusaidiana kwa hali na mali. My age is 30+ njoo tuyajenge. Angalizo hakuna kunogewa. Ukipendezwa njoo tuyajenge na kila kitu ni SIRI.