Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,551
- 45,840
ahahaaa dah unafanya tu kuhama nyumba
Kwahy ww unatafuta mpenz au mume wa kukuoa?Ukiona nimeamua kutafuta ujue nimechoshwa
Tatizo sik hz lazm tufahamian kwa sura picha ni muhim sana fany hvyoWe mvaa tai kama unania ni pm
usijal kuwa seriousNimependa
Hahahahahahaha umeniacha hoi ndugu yangu, nisikudanganyeTunapoelekea shetani atajakata rufaa kazi imemshinda,
Maana mengine yanayofanywa Na binadamu hata kwake inakuwa ni Kama surprise!
Hii kali!!.....i never subscribed to any JF thread but walahi for this i gonna do it!!Hi !
jaman natafuta mpenz umri wowote kikubwa 2pendane
Mm ni mama wa mtoto mmoja umri wangu ni 23 ninaish na baba wa mtoto lakn c ndoa rasmi
Aliyetayar ani pm ili kujuana zaidi
Huyu naye ukimchoka si utabadiri tena..??Nilimpenda mwanzo kwa mambo anayonifanyia cmuitaj tena
Kwan kuna mwanamke ambae sio used miaka hii laada mtoto wa shule ya msingwanaume wanao jitambua huwa hawapendi vitu used! labda mateja! wanawake ni wengi ambao hawajazaa! wewe ulisha zalishwa na baba wa mtoto, huyo ndio chaguo lako. uko unako kwenda sio mahala pako....