Habari zenu wakuu. Najitokeza kwenu mimi ni kijana wa kiume umri miaka 27. Ninaishi Dar es Salaam. Ninatafuta mchumba wa kike mwenye maambukizi ya virusi lakini awe anatumia ARVs. Mambo mengine tutaelezana PM. Dini si muhimu sana kwangu.
Mimi mwenyewe siishi na maambukizi ieleweke.
Dira yangu:
Kuishi na VVU si sababu ya kutopata mpenzi asiye na maambukizi.
Nipo serious. Karibuni sana!
Mimi mwenyewe siishi na maambukizi ieleweke.
Dira yangu:
Kuishi na VVU si sababu ya kutopata mpenzi asiye na maambukizi.
Nipo serious. Karibuni sana!