mke/mume mwema hutoka kwa Bwana, ww muombe Mungu naye atakupa, achana na habari za hapa jf, labda useme unatafuta hawara
Kwi,kwi,kwi,teh,teh, kibaridi@hotmail.com me simo!Hiyo ni zamani, siku hizi mke mwema hutoka kwa bwana na mume mwema hutokea CRDB, BOT, Tigopesa, Airtel money, TRA..
Unatakiwa uweke kila kitu wazi maana mahali hapa kuna kila aina ya mapenzi na wapenzi uwatafutao,unaweza kuwa ni mvulana ila ndio si ridhiki na wapo wa kukusaidia,unaweza kuwa mvulana kamili unatafuta msichana pia utapata vivo hivyo kwa msichana ambaye anatafuta msichana mwenzanke wapo humu,weka wazi kijana zaidi ya hapo subiri majanga.
Basi mkuu hapo utawapata wengi tu cha msingi uwe makini na wanawake matapeli humu.ha haa haaa mkuu umenifurahisha mno,but ulichosema ni sahihi...labda nikuweke wazi kuwa nahitaji mwanamke maana ucje dhania mm sio ridhiki
Nenda kwa baba yako umwambie umekuwa yeye atakuonyesha pakumpata, "bora ukosee kujenga nyumba, kuliko kukosea kuoa mke"