Nsanzi
Member
- Nov 30, 2016
- 84
- 70
Matumaini yangu mko pouwaaa, na maandalizi ya sikukuu zilizo mbele yetu.
Mimi ni kijana wa kiume miaka 27, Elimu diploma.
Ninaishi Dar es Salaam japo sio mzawa.
Ni Mkristo RC
Natafuta mpenzi (MWANAMKE) aje kuwa mchumba, na baadae mke.
mwenye sifa zifuatazo:
Umri miaka 23 hadi 26.
Elimu, sio chini ya kidato cha nne. Awe mkristo na mcha Mungu. Tabia iliyo njema.
Asiwe na mtoto ( single mother )
Bila kusahau, awe mrefu au wastani (asiwe mfupi).Na asiwe mnene pia.
Mwenye kujituma katika utafutaji (muajiriwa atapewa kipaumbele)
Ikikuingia akilini ukajiona unafaa basi unakaribishwa PM.
Update: Nimepitia post nyingi zenye hitaji kama langu sijaona mwenye uhitaji wa sifa nilizo nazo mimi binafsi. Ndio maana nimeona niweke post yangu...
Mimi ni kijana wa kiume miaka 27, Elimu diploma.
Ninaishi Dar es Salaam japo sio mzawa.
Ni Mkristo RC
Natafuta mpenzi (MWANAMKE) aje kuwa mchumba, na baadae mke.
mwenye sifa zifuatazo:
Umri miaka 23 hadi 26.
Elimu, sio chini ya kidato cha nne. Awe mkristo na mcha Mungu. Tabia iliyo njema.
Asiwe na mtoto ( single mother )
Bila kusahau, awe mrefu au wastani (asiwe mfupi).Na asiwe mnene pia.
Mwenye kujituma katika utafutaji (muajiriwa atapewa kipaumbele)
Ikikuingia akilini ukajiona unafaa basi unakaribishwa PM.
Update: Nimepitia post nyingi zenye hitaji kama langu sijaona mwenye uhitaji wa sifa nilizo nazo mimi binafsi. Ndio maana nimeona niweke post yangu...