Natafuta mkopo au msaada wa kifedha

Wernery G Kapinga

JF-Expert Member
Feb 2, 2012
372
119
Nimepata majengo ambayo nahitaji kufungua chuo cha utalii na usimamizi wa mahoteli na accounts. Sasa mahitaji ya sasa ni
1. Usajili
2. Katiba
3. Lesseni
4. Kodi

Chuo hicho nataraji kuanza kufungua mwezi wa nane..

Hivyo yeyote mwenye ushauri juu ya kupata mkopo ili nifanye shughuli hiyo tafadhali usisite. Nimejaribu kuongea na Mbunge wangu Sixtus Mapunda hana msaada anasema jimbo haina mfuko kwa sasa.

Au kama kuna yeyote anaueweza akaja akaona na tukaungana tukafanya Kazi yote pia poa tu. Lengo kiwasaidi vijana wanaofeli kidato cha 4 kupata elimu mbadala na wakajikwamua kimaisha. Namba zangu ni 0754004189

Tafadhali sana mtanzania mwenzangu naomba mawazo yako nitayafanyia Kazi. Ahsante sana
 
Only 1 million kuanzisha chuo??? Hayo majengo ya chuo ambayo obvious kodi pekee ni zaidi ya pesa hiyo (maana huwezi kodi jengo chini ya miezi 6 na kuendelea) yakoje labda. Gharama za usajili bado, wafanyakazi bado.

Unatania mkuu.
 
Only 1 million kuanzisha chuo??? Hayo majengo ya chuo ambayo obvious kodi pekee ni zaidi ya pesa hiyo (maana huwezi kodi jengo chini ya miezi 6 na kuendelea) yakoje labda. Gharama za usajili bado, wafanyakazi bado.

Unatania mkuu.
Usajili
Katiba
Leseni
Kodi.
Hata kama kodi kwa mwezi ni 100000 sio hivo
 
Asante.. Kwa upande wa majengo tiyari tumeshaweka negotiation kuwa yeye kwa mwaka atachukua mil 1 laki kwa kuwa bado kuna process natakiwa kutoa nusu kwanza. Theni baada ya upelelezi ni kwamba usajili kwa maana ga brela na katiba ni kuanzia laki tatu na watu wa kufanya hivo tiyar wamepatikana. Theni lesen pamoja na TIN ni mpaka VETA waje na waidhinishe kwamba panafaa kutolea huduma na ni baada ya wanafunzi kuja. Lakini asante kwa changamoto Mkuu.
 
Back
Top Bottom