Baba Erick
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 483
- 75
hello wana JF mimi ni baba wa mtoto mmoja wa kiume na nina miaka 26 na bs in computer science tatizo langu ni kwa bahati mbaya tulishindwana na mama wa mwanangu na kukimbilia Dubai kwa ndugu zake.Shida yangu ni kumpata binti mwenye kuanzia 18 hadi 25 years ambaye tutafanya mipango ya kuoana. Sifa elimu isiyopungua form 4 na awe na mvuto sii sana na tabia awe ni mcha mungu na mwenye hofu ya mungu.