Natafuta mke

Baba Erick

JF-Expert Member
Aug 24, 2011
483
75
hello wana JF mimi ni baba wa mtoto mmoja wa kiume na nina miaka 26 na bs in computer science tatizo langu ni kwa bahati mbaya tulishindwana na mama wa mwanangu na kukimbilia Dubai kwa ndugu zake.Shida yangu ni kumpata binti mwenye kuanzia 18 hadi 25 years ambaye tutafanya mipango ya kuoana. Sifa elimu isiyopungua form 4 na awe na mvuto sii sana na tabia awe ni mcha mungu na mwenye hofu ya mungu.
 
Baba eric bwana...hebu nenda Dubai ukamchukue mama watoto wako...Eric anammiss mama yake.
 
<br />
<br />
alikuwa ananijia juu sana kwa kujiamini bila kutambua nafasi yake kama mke kutokana na kiburi cha uwezo wa familia yao

je unadhani hiyo ndo sababu ya msingi kumwacha mke???

je huyu unayetafuta unataka vigezo vipi??? wewe ni mwenyeji wa mkoa gani???
 
<font size="3"><span style="font-family: trebuchet ms">Baba eric bwana...hebu nenda Dubai ukamchukue mama watoto wako...Eric anammiss mama yake.</span></font>
<br />
<br />
familia yao walimngangania mtoto so nilimchukua kwa nguvu mwanangu ila nauli kaka nitaanzia wapi?
 
je unadhani hiyo ndo sababu ya msingi kumwacha mke???<br />
<br />
je huyu unayetafuta unataka vigezo vipi??? wewe ni mwenyeji wa mkoa gani???
<br />
<br />
yeye aliamua kuondoka baada ya kujaribu kumwonya akajikataa
 
<br />
<br />
yeye aliamua kuondoka baada ya kujaribu kumwonya akajikataa
  1. njia zipi ulitumia kumwonya ????
  2. baada ya kuondoka ulijaribu kutafuta suluhu naye ???
  3. tangu mmeachana ni muda gani umepita???
  4. je mna mawasiliano naye ???
 
Jichange ukamchukue mama watoto wako kama bado wampenda.
 
<ol class="decimal"><li>njia zipi ulitumia kumwonya ????</li><li> baada ya kuondoka ulijaribu kutafuta suluhu naye ???</li><li>tangu mmeachana ni muda gani umepita???</li><li>je mna mawasiliano naye ???</li></ol>
<br />
<br />
nilitoka naye out nikamwelezea mambo yote aliyokuwa anafanya sipendezwi nayo. Akashindikana mwisho niliwahusisha kaka zangu na wake ambao wapo hapa dar ikashindikana. Nilimwandikia emails hajibu wala nini nikimtumia sms via facebook ananiblock nikimpigia simu ananiongelea kwa dharau na kashfa kibao.tuna miaka 3
 
je unadhani hiyo ndo sababu ya msingi kumwacha mke???&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
je huyu unayetafuta unataka vigezo vipi??? wewe ni mwenyeji wa mkoa gani???
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
vigezo nimevielezea hapo juu.mimi ni mchaga
 
Wapo wengi JF utawapata subiri kidogo sasa hivi watanza kumiminika kwa hiyo kazi kwako.
 
<br />
<br />
nilitoka naye out nikamwelezea mambo yote aliyokuwa anafanya sipendezwi nayo. Akashindikana mwisho niliwahusisha kaka zangu na wake ambao wapo hapa dar ikashindikana. Nilimwandikia emails hajibu wala nini nikimtumia sms via facebook ananiblock nikimpigia simu ananiongelea kwa dharau na kashfa kibao.tuna miaka 3

je ukimpigia simu huwa unaongelea suala la mtoto na ulishawahi kumuomba akuletee mtoto umuone???
hujasema vigezo vya huyo mpya umtakae
 
nimtakae awe na elimu isiyopungua form 4. Awe maji ya kunde mrefu kama mimi 176 cm portable or mnene wastani, mpole, mtaratibu, umri bellow my age, awe ni mcha mungu na mwenye hofu ya mungu
 
nimtakae awe na elimu isiyopungua form 4. Awe maji ya kunde mrefu kama mimi 176 cm portable or mnene wastani, mpole, mtaratibu, umri bellow my age, awe ni mcha mungu na mwenye hofu ya mungu

kila la heri katika suala hili ila kuwa makini kwani maamuzi mara nyingi hufanywa na nguvu ya mapenzi kwa wakati huo na kumbuka watu hubadilika kwa vile wana malengo fulani wayafikie ... ni pm
 
kila la heri katika suala hili ila kuwa makini kwani maamuzi mara nyingi hufanywa na nguvu ya mapenzi kwa wakati huo na kumbuka watu hubadilika kwa vile wana malengo fulani wayafikie ... ni pm
<br />
<br />
umeipata pm yangu?
 
inavyoonekana hamkuoana, vijana muwe mnaangalia na wanawake mnaozaa nao, wengine watawapunguzia maisha ya kuishi kwa stress. Pole Baba Erick, natumaini warembo wa JF watajitokeza.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom