Natafuta mke wa kuoa

nsuri nkuu

Member
Dec 10, 2013
53
4
Mimi ni kijana mzuri tena rijali na mwenye sifa ya kuwa mume na kuwa baba wa familia.Natafuta bint mweye sifa ya kuwa Mke na kuwa mama watoto wetu pindi tutakapooana.sifa zake awe mwenye hofu ya Mungu,asiwe anakunywa pombe,awe na elimu kuanzia diploma,asiwe anpenda sana misele,Kabila lolote mwenye sifa hizo.anitafute.
 
Mwenye kuuliza swali hakueleza urefu upi anaotaka niweke,urefu wa mashine au urefu wa kimo?
 
Mimi ni kijana mzuri tena rijali na mwenye sifa ya kuwa mume na kuwa baba wa familia.Natafuta bint mweye sifa ya kuwa Mke na kuwa mama watoto wetu pindi tutakapooana.sifa zake awe mwenye hofu ya Mungu,asiwe anakunywa pombe,awe na elimu kuanzia diploma,asiwe anpenda sana misele,Kabila lolote mwenye sifa hizo.anitafute.

unaposema wewe ni mzuri una maana gani? uzuri ulio nao wa aina gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom