nsuri nkuu
Member
- Dec 10, 2013
- 53
- 4
Mimi ni kijana mzuri tena rijali na mwenye sifa ya kuwa mume na kuwa baba wa familia.Natafuta bint mweye sifa ya kuwa Mke na kuwa mama watoto wetu pindi tutakapooana.sifa zake awe mwenye hofu ya Mungu,asiwe anakunywa pombe,awe na elimu kuanzia diploma,asiwe anpenda sana misele,Kabila lolote mwenye sifa hizo.anitafute.