Jack2021
Member
- May 7, 2021
- 14
- 3
Naitwa Jackson nipo Moshi,
Sifa zangu mimi ni mkweli, muwazi, mpole, kazi nimejiajiri, umbo langu ni saizi ya kati sio mnene wala mwembamba na umri wangu ni miaka 26. Natafuta mchumba mwishowe awe mke wangu, sifa za ninayemhitaji, awe mnene wa umbo sihitaji mwanamke mwembamba , mpole, mkweli, muwazi, awe anajishughulisha na kazi yoyote halali pia umri wake asizidi miaka 25.
Kama yupo mwenye sifa hizo anitafute kwa namba 0629235516. Asibipu, apige au atume sms nitajibu.
Ahsante.
Sifa zangu mimi ni mkweli, muwazi, mpole, kazi nimejiajiri, umbo langu ni saizi ya kati sio mnene wala mwembamba na umri wangu ni miaka 26. Natafuta mchumba mwishowe awe mke wangu, sifa za ninayemhitaji, awe mnene wa umbo sihitaji mwanamke mwembamba , mpole, mkweli, muwazi, awe anajishughulisha na kazi yoyote halali pia umri wake asizidi miaka 25.
Kama yupo mwenye sifa hizo anitafute kwa namba 0629235516. Asibipu, apige au atume sms nitajibu.
Ahsante.