Mimi ni kijana wa miaka 26 kabila langu ni mchaga na ni mkristo mkatoliki, nafanya kazi za kutengeneza ingine, gearbox na diff za malori. ninahitaji kuoa na ninatafuta mke. sifa za mke ninayependa kumuoa
1. Awe mwembamba lkn si sana
2.sina ubaguzi wa rangi lkn sitaki aliyejichubua
3. Awe na kazi hasa ya ualimu
4. Awe msafi sana
5. Awe mkristo mkatoliki na Awe mcha MUNGU sana
6. Awe mwaminifu sana
7. Awe na mapenzi ya dhati
kwa yoyote aliye tayari kuolewa na mwenye sifa hizo naomba aniPM
kwa mawasiliano zaidi
natanguliza shukrani za dhati
1. Awe mwembamba lkn si sana
2.sina ubaguzi wa rangi lkn sitaki aliyejichubua
3. Awe na kazi hasa ya ualimu
4. Awe msafi sana
5. Awe mkristo mkatoliki na Awe mcha MUNGU sana
6. Awe mwaminifu sana
7. Awe na mapenzi ya dhati
kwa yoyote aliye tayari kuolewa na mwenye sifa hizo naomba aniPM
kwa mawasiliano zaidi
natanguliza shukrani za dhati