Mkuu VP ww?kama VP MPE namba zako
Ni nani?Namjua
Ni nani?
Hiyo simu itazima, hebu icharge kwanzaMala una miaka 32, mala 36, na nyuzi nyingi za kutafuta mke bado tu hujapata?, kuna nyuzi unadai umeajiliwa, zngne unadai hujaajiliwa!!, tukuelewe vp, ?? View attachment 1225085
Unajifanya mjanja sio,....Si yule yule ama?
@Sakayo mwenyeweHiyo simu itazima, hebu icharge kwanza
Kipi?Sina vigezo mkuu
Abeee@Sakayo mwenyewe
Wewe kwa vigezo vyako vile haki haupati mtuAcha tuu mama. Upwele mbaya sana
Hasa ukiwa 28 + sijui na mm niweke uzi
Mkuu hiyo simu umeshaiweka kwenye chaji??Mala una miaka 32, mala 36, na nyuzi nyingi za kutafuta mke bado tu hujapata?, kuna nyuzi unadai umeajiliwa, zngne unadai hujaajiliwa!!, tukuelewe vp, ?? View attachment 1225085
Wewe kwa vigezo vyako vile haki haupati mtu
Unajifanya mjanja sio,....
Umevisahau vile vigezo vyako sijui mwanamke kwa siku asitumie chini ya vile viasi vya pesa ulivyoviandika siku ile na akitumia chini ya hivyo ni mchafu kuoga hahahaKwa nn boss