Natafuta mke wa kuoa! serious nat joking

alfanlully

New Member
Nov 1, 2010
4
1
Hellow guys! natafuta mke wa kuoa... naona muda wangu umefika...
'
sifa
Awe mweupe soft color au black beauty.
Asiwe anakunywa pombe, wala kuvuta sigara
aswe changudoa,
Awe amemaliza form four na kuendelea,
Awe anajiheshimu pia na kuheshimu.
Anayejua kucare, and understanding
Awe na true love
Sichagui kabila, mkoa wala dini
Awe na umbo la kuvutia
asiwe mnene awe wakat kma anaelekea kwenye model hiviumri 18 mpaka 23,

Jinsi gani ya kunipata

use dic 0789444546

nitumie msg mie nitakujibu, usipige tafadhali wala kubip
 
sidhani kama u sahihi sana kutumia jamvi hili kumpata mwenzi wako wa maisha!
 
Hellow guys! natafuta mke wa kuoa... naona muda wangu umefika...
'
sifa
Awe mweupe soft color au black beauty.
Asiwe anakunywa pombe, wala kuvuta sigara
aswe changudoa,
Awe amemaliza form four na kuendelea,
Awe anajiheshimu pia na kuheshimu.
Anayejua kucare, and understanding
Awe na true love
Sichagui kabila, mkoa wala dini
Awe na umbo la kuvutia
asiwe mnene awe wakat kma anaelekea kwenye model hiviumri 18 mpaka 23,

Jinsi gani ya kunipata

use dic 0789444546

nitumie msg mie nitakujibu, usipige tafadhali wala kubip

kwa mavigezo yako ukimpata humu mi najinyea hapa hapa bora uende mwenyewe street ukawaface
 
Hellow guys! natafuta mke wa kuoa... naona muda wangu umefika...
'
sifa
Awe mweupe soft color au black beauty.
Asiwe anakunywa pombe, wala kuvuta sigara
aswe changudoa,
Awe amemaliza form four na kuendelea,
Awe anajiheshimu pia na kuheshimu.
Anayejua kucare, and understanding
Awe na true love
Sichagui kabila, mkoa wala dini
Awe na umbo la kuvutia
asiwe mnene awe wakat kma anaelekea kwenye model hiviumri 18 mpaka 23,

Jinsi gani ya kunipata

use dic 0789444546

nitumie msg mie nitakujibu, usipige tafadhali wala kubip

umri huo ulikua ukinitongoza nakusemea kwa kaka yangu na nilikua najiona mtoto mwenye kujali masomo yangu tu,wewe unamtafuta wa umri huo umuoe,wee mwenyewe una umri gani?
hujasema chochote kuhusu wewe mbona?
 
Hellow guys! natafuta mke wa kuoa... naona muda wangu umefika...
'
sifa
Awe mweupe soft color au black beauty.
Asiwe anakunywa pombe, wala kuvuta sigara
aswe changudoa,
Awe amemaliza form four na kuendelea,
Awe anajiheshimu pia na kuheshimu.
Anayejua kucare, and understanding
Awe na true love
Sichagui kabila, mkoa wala dini
Awe na umbo la kuvutia
asiwe mnene awe wakat kma anaelekea kwenye model hiviumri 18 mpaka 23,

Jinsi gani ya kunipata

use dic 0789444546

nitumie msg mie nitakujibu, usipige tafadhali wala kubip
kazi unayo, huu wote ni uoga wa kutongoza au una jambo jingine. jikakamue mtoto wa kiume, jitoe muhanga, tongoza
 
kwa mavigezo yako ukimpata humu mi najinyea hapa hapa bora uende mwenyewe street ukawaface

anamaanisha hapa ni mwanzo tu, na kuna ma-great thinker ambao wanawafahamu mabint huko mtaani wanaotamani kuolewa na vigezo vya jamaa wanavyo, bisi na msiweke kauzibe wapeni hiyo deal wachangamkie, yaani kama vile kutafuta kazi jukwaa husaidia
 
Mke wangu anavyo vyote, vipi nikuuzie mpwa!!! haya just kidding but my ushauri; usiende kutafuta mke kwa kutangaza vigezo, they are good pretenders waweza pata vigezo vya kichina na vikija chujuka ukimbie bure, tafuta kwene net mashairi ya Lucky Dube ya It's not Easy nafikiri utapata ushauri zaidi! au Julieth and Romeo!!
 
Hellow guys! natafuta mke wa kuoa... naona muda wangu umefika...
'
sifa
Awe mweupe soft color au black beauty.
Asiwe anakunywa pombe, wala kuvuta sigara
aswe changudoa,
Awe amemaliza form four na kuendelea,
Awe anajiheshimu pia na kuheshimu.
Anayejua kucare, and understanding
Awe na true love
Sichagui kabila, mkoa wala dini
Awe na umbo la kuvutia
asiwe mnene awe wakat kma anaelekea kwenye model hiviumri 18 mpaka 23,

Jinsi gani ya kunipata

use dic 0789444546

nitumie msg mie nitakujibu, usipige tafadhali wala kubip

Pumbavu! Mijitu ya dizaini yako inaboaaaaaaaa! Ndiyo waleeee, wakiona kichaka tu, mavi yamebana wanataka kunya...Get some life Nigga! Nyambafu kabisa!
 
Huwezi kutafuta mke wa kuoa - unaweza kutafuta binti wa kuoa. Utaoaje mke? Yaani uoe aliyekwisha kuolewa? Mke=mwanamke aliyeolewa!
 
mbona wewe hujaweka sifa zako? umesema huchagui kabila wala dini je chama cha siasa?akiwa mpinzani?
 
mbona wewe hujaweka sifa zako? umesema uchagui kabila wala dini je chama cha siasa?akiwa mpinzani?

Na siku hizi chama cha siasa ndio kinamata zaidi katika kumtafuta mwenza wa maisha kuliko dini+kabila.

Aweke wazi ili warembo wanaotaka waende wakiwa wanajua anataka wa chama gani (chaka Chua Matokeo au Chadema?

Jokin...... Lakini kusema kweli, huwezi kumpata mwenza wako wa maisha kwa matangazo kama haya, hasa ukizingatia katika ulimwengu tulionao sana, ni vigumu sana kutambua tabia halisi ya mtu, unless unamjua kwa muda mrefu, kiasi cha kujua anapo'pretend na anapokua real.

Ushauri wangu, nenda street, tafuta mwenyewe mjuane kwanza, muende kwenye urafiki, then u'galifredi and boifredi, baadae mtakuwa wachumba, then mtakuwa mke na mume, not otherwise.
 
Jamani mkiona hivyo mjue huko kote amekwama (kwa sababu zozote zile) ndio maana kaja jamvini. Mfumo wa maisha hubadilika na mtandao ni sehemu ya mabadiliko, nashauri tusimkatishe tamaa ila tumpe ushauri utakaomsaidia baada ya kupata list ya anaowataka !
 
Nenda kwenye nyumba za ibada waone viongozi wako wa dini, lazima watakupatia list ya wadada wanaotafuta wachumba, niliitwa na mtumishi flani hivi miaka ilee kabla sijampata shemejio na akaniuliza kwa nini siioi? au nashindwa kutongoza? na kama nashindwa basi yy alikua na list ya wadada, ndo nikabaini kua wadada wengi huenda kwa watumishi wawatafutie wenza, ila kaka, weye watafuta mke au binti wa kua mke? kama ni mke njoo nikuuzie wangu!!
 
Nenda kwenye nyumba za ibada waone viongozi wako wa dini, lazima watakupatia list ya wadada wanaotafuta wachumba, niliitwa na mtumishi flani hivi miaka ilee kabla sijampata shemejio na akaniuliza kwa nini siioi? au nashindwa kutongoza? na kama nashindwa basi yy alikua na list ya wadada, ndo nikabaini kua wadada wengi huenda kwa watumishi wawatafutie wenza, ila kaka, weye watafuta mke au binti wa kua mke? kama ni mke njoo nikuuzie wangu!!

Hahahaha mjomba unataka kuuza mke?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom