waterproof
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 387
- 348
- Thread starter
- #21
Mimi naamini ntampata aliye bora humu humu sababu hakuna sehemu iliyo andikwa kuwa make mwema au ukitaka kuoa uende mahali fulan ndo kuna wake bora jibu ni hakunaHongera kwa kujitambua na kuona umefikia mahali pa kuhitaji mwenza.
Mungu akuongoze upate unayemtaka.
Tahadhari; Mke hatafutwi kwa mtindo ulioweka hapo, huo ni utaratibu wa kutafuta mfanyakazi ambapo unaweza kumfukuza wakati wowote atakaposhindwa kutimiza hayo masharti.
Kwa upande wa kutafuta mke unaanza kwa kumwona akakuvutia, ukampenda.
Mkiafikiana mnaanza kila mmoja kujifunza tabia za mwingine na kurekebisha mapungufu (uchumba). Mkiona mmekaa sawa mnaoana.
Huu mtindo mpya wa mitandaoni ni nadra sana kupata atakayeujaza moyo wako..Mungu tu aingilie kati.
Hvyo basis kama yesu alivyo sema kwamba imani yako itakuponya basi mm naamini ntapata make bora humu humu