Natafuta mke tujenge familia

Farudume12

JF-Expert Member
Jan 7, 2016
621
346
Abari zenu bandugu... heri ya mwaka mpya kwenu woote. Nilipenda kuwashirikisha haya labda naweza nikabahati. Namtafuta mwanamke yeyote ambae labda kachelewa kuolewa ao aliwai kuolewa akaachika. vigezo miaka kuanzia 25 awe tayari amejenga NYUMBA yake binafsi, awe nakazi nzuri, kaajiriwa ao amejiajiri, awena Mtoto 1, awena elimu isiopungia form4, awe mcha Mungu... uzuri wauso, shepu nzuri siangalii... Umri asizidi miaka 45 na mwisho kabisa awetayari kunizalia watoto zaidi yawa 2. mimi nimeajiriwa Vodacom Nina miaka 32, Nina Mtoto 1, kwayule ambae yupo tayari anaweza akani pm, ilituyajenge vizuri. Karibuni
 
Abari zenu bandugu... heri ya mwaka mpya kwenu woote. Nilipenda kuwashirikisha haya labda naweza nikabahati. Namtafuta mwanamke yeyote ambae labda kachelewa kuolewa ao aliwai kuolewa akaachika. vigezo miaka kuanzia 25 awe tayari amejenga NYUMBA yake binafsi, awe nakazi nzuri, kaajiriwa ao amejiajiri, awena Mtoto 1, awena elimu isiopungia form4, awe mcha Mungu... uzuri wauso, shepu nzuri siangalii... Umri asizidi miaka 45 na mwisho kabisa awetayari kunizalia watoto zaidi yawa 2. mimi nimeajiriwa Vodacom Nina miaka 32, Nina Mtoto 1, kwayule ambae yupo tayari anaweza akani pm, ilituyajenge vizuri. Karibuni
Naona vigezo na masharti kuzingatiwa jamani
 
wazo zuri,awe na yake coz hiyo umemjengea mwanao.Ubaguzi mapemaaaaa
 
Wanaume wengine banaa, endelea kutafuta hivoivo, huyo aliyejenga hadi Yesu arudi! Hii ni dalili ya uchoyo! Nyumba si ushajenga, sasa kwanini msiishi wote! Mbombo jilipo mwe
 
Wanaume wengine banaa, endelea kutafuta hivoivo, huyo aliyejenga hadi Yesu arudi! Hii ni dalili ya uchoyo! Nyumba si ushajenga, sasa kwanini msiishi wote! Mbombo jilipo mwe
Hongera umeanza kwa moto mkali juzijuzi tumekukaribisha
 
Pole sana sijaanza kuingia humu juzi! Halafu ukijiunga humu jf hutakiwi kutoa ushauri au? Punguza mapovu mkuu!
Mh ! Biboo we c majuz ulikuwa unasema hodi hodi Leo unachamba duuh !!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom