njilebajaji
Member
- Sep 4, 2016
- 10
- 1
Mimi ni kijana wa kiume, nipo single, nimeajiriwa serikalini. Nina miaka 33. Natafuta mke. Awe na umri chini ya miaka 35. Sichagui dini. Kwa yeyote atakaekuwa tayari tuwasiliane 0689027050
Hahaaa, yan ulowahi ku- do nao wako wp???Mimi ni kijana wa kiume, nipo single, nimeajiriwa serikalini. Nina miaka 33. Natafuta mke. Awe na umri chini ya miaka 35. Sichagui dini. Kwa yeyote atakaekuwa tayari tuwasiliane 0689027050
How can I contact her??Wasiliana na miss Natafuta.Nilisoma Comment yake jana kwamba anatafuta kuzaa mtoto kwa hiyo mkiwasiliana mnaweza kupata muafaka maana mtoto na ndoa zinaendana.
How can I contact her??
unafaa kutumwa kupeleka posa. nimependa MKE NI MTAMU.....! JF RAHA RAHANINjilebajaji....usitafute mke,badala yake tafuta mpenzi,kwa taarifa yako MKE ni matokeo,.....kabla ya kupata MKE kuna mchakato unaohitaji muda na rasilimali nyingine ikiwa pamoja na wewe mwenyewe....Nakusahuri tafuta mpenzi kwanza,ishi kwenye mapenzi,usiogope kuwa na wengi na kwa wakati mwingi,wacha moyo upende,kubali kudanganywa,kubali kuibiwa,kubali kila aina ya ubaya na uzuri pia,kisha utampata MKE,......wewe ni MUME na yeye ni MKE, je,huyo MKE ni nani?,rafiki,mpenzi,member wa jamii forum,mfanyakazi wa serikali kama wewe,mfanyabiashara,jirani,jamaa,ila si ndugu,MKE si dada yako,wala mama yako,wala MKE wa rafikio,....MKE ana raha,MKE ni mtamu,MKE ni jasiri,MKE ana UKE...tena mtamu,msafi,wako peke yako,..........ngoja kwanza nimsikilize huyu wangu,nitarudi kwani nasikia kaniita.......MKE kwanza..
AHAHAAAA mkuu naona unatafuta mahariWasiliana na miss Natafuta.Nilisoma Comment yake jana kwamba anatafuta kuzaa mtoto kwa hiyo mkiwasiliana mnaweza kupata muafaka maana mtoto na ndoa zinaendana.
mmm chura hutaki???
hutaki mweupe mrefu???
mwenye masters na kazi ya maana...
ambae haombi hela..bikra
hahaMmh, hii bikra inayozungumziwa hapa ni ipi au ya wapi jamn?
Cc Miss NatafutaHow can I contact her??
wameolewa alijua akiwachezea hawata pata mtu kumbe sivo.Hahaaa, yan ulowahi ku- do nao wako wp???
AHAHAAAA mkuu naona unatafuta mahari