Nimeachwa na mke!nina watoto wawili ila huyu wa pili nina mashaka kama ni wangu!mke wangu amejitahidi sana kunioneshea kuwa sina changu ila nilikuwa nampotezea sana.Ameamua kuolewa kinyemela sitaki kukamata ugoni!Sitajali akiwa na mtoto mmoja.Nahitaji mtu anayejua maisha.Samahani sitahitaji aliye chini ya miaka 28!