Hahahahahaha nikiweka tu nitakwambia rafiki yanguMe nimekaa tu nasubiri bandiko lako njitose
Ntashkuru kwa kweli, ukiona tabu liweke kwenye piyemu yanguHahahahahaha nikiweka tu nitakwambia rafiki yangu
Hahahaha sawa diaNtashkuru kwa kweli, ukiona tabu liweke kwenye piyemu yangu
😊😊😊Hahahaha sawa dia
Work on that soon kakaNenda msikitini,unaoa hata Leo,
HahahahahaKaa sababu wewe ni graduate na umeajiriwa serikalini utawapata wengi.
Pia umesahau kusema una gari
Hongera sana mkuu! Mtunze
Naamini hivyo ndugu yangu. Niombee tuUtawapata tu mkuu
Nashukuru sanaMkuu nipo tayari ila nina talaka 2,nina makovu miguuni,stretch mark tumboni halafu nina kitambi cha haja kidogo
.
Miaka yangu 28..vipi naweza kukufaa?!hizo sifa zingine zote ninazo ila changamoto ni hiyo
Mkuu nipo tayari ila nina talaka 2,nina makovu miguuni,stretch mark tumboni halafu nina kitambi cha haja kidogo
.
Miaka yangu 28..vipi naweza kukufaa?!hizo sifa zingine zote ninazo ila changamoto ni hiyo
Idiot
Mimi pia natafuta mke ukimpata ni2mie photo yake nkuchekie kwenye raml kama mnaendana kama hamta endana utaniachi mimi
Habari wana JF,
Mimi ni kijana wa kiume, Miaka 30. Graduate, nimeajiriwa serikalini. Naishi DSM. Dini yangu ni Muislam, mimi ni mstaarabu na nina hofu ya Mungu. Sijawahi kuoa wala sina mtoto. Naamini somewhere out there pia kuna mabinti wengi tu wastaarabu kabisa ambao wanatafuta mme mwema ambae watafungua nae ukurasa mpya wa maisha ya ndoa hatimaye wajenge familia, tatizo tu linakuwa how you two get connected.
Sifa za binti.
Umri: 22- 28 yrs
Dini: Muslim
Elimu: Certificate or Diplomal, ukiwa graduate is an added advantage.
Kabila: Lolote, sio ishu sana kwa dunia ya leo
Ajira: Uwe na ajira, au ni mtu ambaye unaweza kuajirika.
Huna mtoto.
Nafikiri sifa nyengine uta zifaham zaidi kadri tutakavyo fahamiana.
Kama una hisi una sifa hizo na upo serious, karibu PM tafadhali. This is a serious Note, jokes aside please.
Ramli ni ushirikina muogope AllahMimi pia natafuta mke ukimpata ni2mie photo yake nkuchekie kwenye raml kama mnaendana kama hamta endana utaniachi mimi