Unatafuta mke wa nini? Funguka zaidi?Mimi ni kijana wa miaka 30 nimeajilriwa natafuta msichana wa kuoa anayejielewa awe na miaka 20-28, awe na shughuli inayomwingizia kipato.
Aliye tayari tuwasiliane pm.
hahahhahahh kwan baamedi si nayo ni Nazi mfanyie mpango mkuuBaa medi fulani yupo anakipato kizuri nikuunganishie?
Aah shangaa we mkuu. Ujishughulishe, ukirudi nyumbani umfulie, umpikie, unyonyeshe na bado kitandani anataka ushughulike. Kuweni na huruma jamaniawe na shughuriiii ya kumuingizia kipato.
Acha uvivu brah mwanamke akae ndan ww tafuta