Satoshi Nakamoto
Senior Member
- May 28, 2017
- 105
- 435
Umofia kwenu wakuu!UPDATE: Nashukuru wote mlioshiriki kutoa mapendekezo, so far kwa ku regard walio wengi, panapo majaaliwa ya Mwenyezi Mungu, nitaenda Bukoba. Nitawapa mrejesho na mapichapicha ya kutosha. Akina Koku mnipokee wenyeji wangu (mid May to mid June)
Ambao mna uzoefu mkubwa na maeneo (miji midogo) ya nchi hii. Naomba ushauri au mapendekezo, ni mji gani mdogo naweza kwenda kukaa kwa muda wa mwezi mmoja (brain recharging)
Uwe ni mji mdogo, uliotulia kwa mandhari na hali ya hewa, ambao jioni naweza enjoy evening walk, uwe ni mji salama, na wenye vyakula vizuri vya asili, kwa mfanano mzuri think of somewhere like Lushoto (Lushoto ndio kwetu so don't mention)
Binafsi nimewaza kwenda Tarakea Rombo, lakini naona ni vyema nipate mawazo kwa wadau. N.B, iwe ni sehemu yenye nyumba za wageni ambazo ni classic.
Asanteni.