Natafuta Mganga wa Kienyeji Aliye Mkweli

Sumbalawinyo

JF-Expert Member
Sep 22, 2009
1,282
247
Natafuta mganga wa kienyeji aliye mkweli.
Kwanza sijui kwa kumpata, na wala sijui sifa za mganga wa ukweli, ila wale waendao kwa waganga naomba mnisaidie kwa hili.
Shida zangu hasa ni:-
  • kuliteka jimbo la uchaguzi wa kijiji nilichotoka ili nikautwae ubunge wa jimbo hilo.
  • kumtimua bosi wangu hapa idarani maana amekuwa ni kikwazo kwa maendeleo ya wafanyakazi wote, anamtumikia zaidi muhindi na anasahau hata kukutetea haki zetu za msingi.
  • awe mshauri wangu wa mambo yajayo na kunisomea alama za nyakati.
Niko tayari kumpa kiasi kinono yeyote atakaye nisaidia kumpata mganga mwenye sifa hizi.
 
Natafuta mganga wa kienyeji aliye mkweli.
Kwanza sijui kwa kumpata, na wala sijui sifa za mganga wa ukweli, ila wale waendao kwa waganga naomba mnisaidie kwa hili.
Shida zangu hasa ni:-
  • kuliteka jimbo la uchaguzi wa kijiji nilichotoka ili nikautwae ubunge wa jimbo hilo.
  • kumtimua bosi wangu hapa idarani maana amekuwa ni kikwazo kwa maendeleo ya wafanyakazi wote, anamtumikia zaidi muhindi na anasahau hata kukutetea haki zetu za msingi.
  • awe mshauri wangu wa mambo yajayo na kunisomea alama za nyakati.
Niko tayari kumpa kiasi kinono yeyote atakaye nisaidia kumpata mganga mwenye sifa hizi.

Umekosa kazi za kufanya?
 
Sumbalawinyo wewe ni mwenyeji wa Sumbawanga? Maana sikuelewi hapa.. Fanya kazi kwa bidii, achana na walaghai
 
kwenye maisha
mganga ni wewe mwenyewe...
just follows your instincts....
 
pita morogoro road, pale jangwani kuna kibao cha mganga kutoka naijeria, fuata mshale, natumai utafika unakokusudia...kila la kheri na nguvu za giza...lakini kama wewe ni ccm, mtafute mbunge wako na umuulize yeye alifanyaje?
 
Sumbalawinyo shida ulizoeleza hapa hazitatuliwi kwa kwenda kwa mganga wa kienyeji, angalia ushauri wangu nilioweka katika rangi ya bluu

Shida zangu hasa ni:-
  • kuliteka jimbo la uchaguzi wa kijiji nilichotoka ili nikautwae ubunge wa jimbo hilo. Mimi sio mwanasiasa lakini naamini kama umekuwa karibu na wananchi wako yaani wanakufahamu vizuri na ukawa na sera nzuri zenye ushawishi na ukagombea kupitia chama kinachokubalika eneo hilo utashinda badala ya kumuamini mganga wa kienyeji kuwa anaweza kukufanya ushinde.
  • kumtimua bosi wangu hapa idarani maana amekuwa ni kikwazo kwa maendeleo ya wafanyakazi wote, anamtumikia zaidi muhindi na anasahau hata kukutetea haki zetu za msingi. Sioni kama njia ya kumtimua bosi itakuwa ni suruhisho la changamoto mnazozipata kazini, huyo bosi anaweza akaondoka akaja mwingine ambaye atakauwa mbaya zaidi. Ni vizuri kuangalia system na mwongozo mzima wa ofisi yenu inawezekana ndio wenye shida. By the way huyo boss ndo wa mwisho na hakuna mtu mwingine juu yake? Usipoteze muda wako, nafsi yako na roho yako kuwaendea waganga wa kienyeji
  • awe mshauri wangu wa mambo yajayo na kunisomea alama za nyakati. Ndugu yangu naomba nikukumbushe maandiko yanasema "AMELAANIWA MTU AMTEGEMEAYE MWANADAMU NA KUMFANYA KUWA KINGA YAKE". Achana na jambo hili njoo kwa YESU utapata raha nafsini mwako na atakupa hakika ya maisha yajayo.
 
Kwishnei! Hata uwenyekiti wa mtaa hupati ww.
Why did I repply this thread? AaGgggrrrrr! Great thinker inataka kuwa kijiwe cha kahawa na bao.
 
Hakuna mgamga wa kienyeji ambaye ni wa kweli.Kwa mtaji huo hushindi ng'o huo ubunge unaoutaka.
 
Natafuta mganga wa kienyeji aliye mkweli.
Kwanza sijui kwa kumpata, na wala sijui sifa za mganga wa ukweli, ila wale waendao kwa waganga naomba mnisaidie kwa hili.

Shida zangu hasa ni:-
  • kuliteka jimbo la uchaguzi wa kijiji nilichotoka ili nikautwae ubunge wa jimbo hilo.
  • kumtimua bosi wangu hapa idarani maana amekuwa ni kikwazo kwa maendeleo ya wafanyakazi wote, anamtumikia zaidi muhindi na anasahau hata kukutetea haki zetu za msingi.
  • awe mshauri wangu wa mambo yajayo na kunisomea alama za nyakati.
Niko tayari kumpa kiasi kinono yeyote atakaye nisaidia kumpata mganga mwenye sifa hizi.
....
icon13.gif
icon13.gif
......!!
 
Hakuna mgamga wa kienyeji ambaye ni wa kweli.Kwa mtaji huo hushindi ng'o huo ubunge unaoutaka.

Ni kweli waganga wa kienyeji wote ni waongo na ni watumishi wa shetani. Mwenye kuwategemea anajitafutia mwisho mbaya wa kutapeliwa na kisha kwenda jehanamu.
 
hivi kuna mganga asiyetaka ubunge? sasa kwanini mganga akusaidie wewe kuwa mbunge kwnaini asijisaidie mwenyewe? au ndio mambo ya mganga hajigangi? na kama hajigangi kwanini asienda kwa mganga mwenzake kama yeye ana amini mambo ya uganga haweze kuwa mbunge au tajiri?

natoka nje kidogo nina swali,kwa kiswahili sanifu kazi ya mganga ni nini? naona kama mleta hoja anatafuta mchawi? au nimekosea wakuu? naona watu siku hizi wanachannganya kati ya mganga na mchawi naomba tofauti ziwekwe mwenye kujua kwa undani?
 
Natafuta mganga wa kienyeji aliye mkweli.
Kwanza sijui kwa kumpata, na wala sijui sifa za mganga wa ukweli, ila wale waendao kwa waganga naomba mnisaidie kwa hili.
Shida zangu hasa ni:-
  • kuliteka jimbo la uchaguzi wa kijiji nilichotoka ili nikautwae ubunge wa jimbo hilo.
  • kumtimua bosi wangu hapa idarani maana amekuwa ni kikwazo kwa maendeleo ya wafanyakazi wote, anamtumikia zaidi muhindi na anasahau hata kukutetea haki zetu za msingi.
  • awe mshauri wangu wa mambo yajayo na kunisomea alama za nyakati.
Niko tayari kumpa kiasi kinono yeyote atakaye nisaidia kumpata mganga mwenye sifa hizi.
kwa kuwangoza wasiyo wachawi huwezi kutumia uganga
sema tu ukweli kuwa una lengo la kujifunza uchawi
hizo zingine ni porojo tu, utashauriwaje na kuongozwa na
nguvu za kishirikina, harafu uwe kiongozi wa jimbo?
 
najua huo ni utani lakini serious we christians we believe in bible na bibilia inasema amelaamiwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake kumbe moyoni mwake amemwasi Bwana Yesu. Do bear in your mind kwamba there is no free lunch, shetani hakupi kitu bure bwana utalipa tu whether you like or not. so its your choice kuwa na furaha ya kitambo au kuwa na uzima wa milele.
mbarikiwe
 
Kama ukitaka kujua waganga wa kienyeji ni waongo jaribu akupe dawa ya biashara kwani majibu yake ni ya moja kwa moja wengi hawawezi kufanikisha hutoa visingizio oh ulikosea nasharti. Naona wote ni waongo usipoteze muda wako bure.
 
hahaha hehehe leo nimecheka mie sikutegemea kauli hiyo ingetoka kwako wewe sumbalawinyo in my love i will neva neva trust nguvu za giza ,nayaweza mambo yeye katika yeye anitiae nguvu,hivo na wewe mtumaini mungu atakushindia ,waganga wenyewe michosho tupu
 
Natafuta mganga wa kienyeji aliye mkweli.
Kwanza sijui kwa kumpata, na wala sijui sifa za mganga wa ukweli, ila wale waendao kwa waganga naomba mnisaidie kwa hili.


Shida zangu hasa ni:-
  • kuliteka jimbo la uchaguzi wa kijiji nilichotoka ili nikautwae ubunge wa jimbo hilo.
  • kumtimua bosi wangu hapa idarani maana amekuwa ni kikwazo kwa maendeleo ya wafanyakazi wote, anamtumikia zaidi muhindi na anasahau hata kukutetea haki zetu za msingi.
  • awe mshauri wangu wa mambo yajayo na kunisomea alama za nyakati.
Niko tayari kumpa kiasi kinono yeyote atakaye nisaidia kumpata mganga mwenye sifa hizi.

...mimi nakushauri kwa nia njema tu, chukua likizo kazini halafu tafuta recreational activities haraka iwezekanavyo, hata kama itakuwa ni kibustani cha mboga mboga.

Ni dalili za depression hizo, au kwa lugha nyepesi wanaita 'msongo wa mawazo' ndio yanakuandama kiasi kukupelekea kuanza kupoteza self-esteem, au kwa kiswahili chepesi; "uwezo wa kujiamini" .
 
...mimi nakushauri kwa nia njema tu, chukua likizo kazini halafu tafuta recreational activities haraka iwezekanavyo, hata kama itakuwa ni kibustani cha mboga mboga.

Ni dalili za depression hizo, au kwa lugha nyepesi wanaita 'msongo wa mawazo' ndio yanakuandama kiasi kukupelekea kuanza kupoteza self-esteem, au kwa kiswahili chepesi; "uwezo wa kujiamini" .
Very gud advice mbu
 
........Yesu pekee ndio mganga aliye wa kweli.
NA HAWEZI KUMFANYIA HII KAZI......
Huyu ndugu anatafuta short cut kuelekea kuwadanganya wananchi wa kijiji chake... na akiupata huo ubunge hatawafanyia chochote wapiga kura bali kujinufaisha yeye mwenyewe.
 
Back
Top Bottom