natafuta mfanyakaz wa kazi za ndani.

Bakulutu

JF-Expert Member
Nov 30, 2011
2,537
1,752
Wa umri wowote especial mwanamke hata kama ana mtoto, maslahi mazuri na kazi sio nyingi.
Sehemu ya kazi sio mjini ila ni sehemu ya kati,malazi,kula n.k ni juu ya mwajiri na uhuru wa kutosha kabisa.
0715812160
 
Wa umri wowote especial mwanamke hata kama ana mtoto, maslahi mazuri na kazi sio nyingi.
Sehemu ya kazi sio mjini ila ni sehemu ya kati,malazi,kula n.k ni juu ya mwajiri na uhuru wa kutosha kabisa.
0715812160

Yupo ila yeye anataka kua anarudi home jion vp inawezekana mkuu?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
nitumie vocha kwe inbox yangu ili nikupigie nikuunganishe naye.tuma airtel.
 
Habarini wapendwa,
Mimi ni mkazi wa moshi,Kilimanjaro nilikuwa nahitaji mfanyakazi wa ndani ambaye atakuwa tayari kufanya kazi za ndani,nahitaji awe mpole mwenye upendo na heshima awe muislamu.Kuhusu mshahara atataja yeye mwenyewe ni kiasi gani anahitaji,pamoja na maslahi yote anayopaswa kupewa binadamu.Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kupitia namba 0754883040 AU 0714342587.Asanteni wapendwa.
 
Wa umri wowote especial mwanamke hata kama ana mtoto, maslahi mazuri na kazi sio nyingi.
Sehemu ya kazi sio mjini ila ni sehemu ya kati,malazi,kula n.k ni juu ya mwajiri na uhuru wa kutosha kabisa.
0715812160

Mkuu mimi ninaweza kuja kukufanyia kazi.
Ili mradi mkeo/mumeo asiwe mkorofi.
Mshahara tutapanga nikija.
Nina upendo kwa kila mtu.
Naomba unichague.
 
Habarini wapendwa,
Mimi ni mkazi wa moshi,Kilimanjaro nilikuwa nahitaji mfanyakazi wa ndani ambaye atakuwa tayari kufanya kazi za ndani,nahitaji awe mpole mwenye upendo na heshima awe muislamu.Kuhusu mshahara atataja yeye mwenyewe ni kiasi gani anahitaji,pamoja na maslahi yote anayopaswa kupewa binadamu.Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kupitia namba 0754883040 AU 0714342587.Asanteni wapendwa.

Kazi kwelikweli, kana kwamba alingoja mtu aanzishe naye adandie...haya baba wamekusikia!
 
Habarini wapendwa,
Mimi ni mkazi wa moshi,Kilimanjaro nilikuwa nahitaji mfanyakazi wa ndani ambaye atakuwa tayari kufanya kazi za ndani,nahitaji awe mpole mwenye upendo na heshima awe muislamu.Kuhusu mshahara atataja yeye mwenyewe ni kiasi gani anahitaji,pamoja na maslahi yote anayopaswa kupewa binadamu.Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kupitia namba 0754883040 AU 0714342587.Asanteni wapendwa.

kwani ungeanzisha uzi wako kungekuwa na tatizo?
 
Maelezo yako hayajitoshelezi, ni vyema ukaweka wazi umeoa/kuolewa , una watoto wangapi na wana umri gani

Sent from my BlackBerry - jamiiforums
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom