Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 798
- 843
Hi wakuu, nimejiajiri nauza various products.
Nilinunua duka ambalo aliyekuwepo alikuwa anauza na vipodozi, kwakua sio mwenyeji Sana Arusha mjini,natafuta mtu wa kuwa mteja wangu ambaye ntakuwa nanunua kwake.
Kama Kuna mtu anauza vipodozi, Arusha mjini aje, tufanye bihashara
Nilinunua duka ambalo aliyekuwepo alikuwa anauza na vipodozi, kwakua sio mwenyeji Sana Arusha mjini,natafuta mtu wa kuwa mteja wangu ambaye ntakuwa nanunua kwake.
Kama Kuna mtu anauza vipodozi, Arusha mjini aje, tufanye bihashara