Natafuta mfanyabiashara wa vipodoz vya jumla Arusha Mjini

Boeing787-8

JF-Expert Member
Aug 16, 2018
798
843
Hi wakuu, nimejiajiri nauza various products.

Nilinunua duka ambalo aliyekuwepo alikuwa anauza na vipodozi, kwakua sio mwenyeji Sana Arusha mjini,natafuta mtu wa kuwa mteja wangu ambaye ntakuwa nanunua kwake.

Kama Kuna mtu anauza vipodozi, Arusha mjini aje, tufanye bihashara
 
Kuwa makini na vipodozi unaponunua mkuu,usije ukauziwa visivyotakiwa.Kuwa makini na majizi ya Arusha,Matapeli ya Arusha,Vibaka wa Arusha na Majambazi ya Arusha.Ukiweza hamisha Duka Kbisa.
 
Kuwa makini na vipodozi unaponunua mkuu,usije ukauziwa visivyotakiwa.Kuwa makini na majizi ya Arusha,Matapeli ya Arusha,Vibaka wa Arusha na Majambazi ya Arusha.Ukiweza hamisha Duka Kbisa.
Shukran
 
Hi wakuu, nimejiajiri nauza various products.

Nilinunua duka ambalo aliyekuwepo alikuwa anauza na vipodozi, kwakua sio mwenyeji Sana Arusha mjini,natafuta mtu wa kuwa mteja wangu ambaye ntakuwa nanunua kwake.

Kama Kuna mtu anauza vipodozi, Arusha mjini aje, tufanye bihashara
0754306669
 
Back
Top Bottom