sodeely
Senior Member
- Oct 3, 2011
- 187
- 117
Mimi ni kijana wa kitanzania..nimejaaliwa kuwa na kipaji cha utunzi na uandishi wa riwaya..
Hadi sasa nimeishatunga riwaya nne kali..
Bahati mbaya 2 kuna mtu alijitolea kunisaidia lakini baadae akaingia nazo mitini..
Lakini kwa kuwa kipaji ninacho nimeandika zingine nzuri..
Naomba kama kuna mtu anahitaji kunisaidia kuzitengeneza vitabu tuwasiliane kwa no.+255653782825
Hadi sasa nimeishatunga riwaya nne kali..
Bahati mbaya 2 kuna mtu alijitolea kunisaidia lakini baadae akaingia nazo mitini..
Lakini kwa kuwa kipaji ninacho nimeandika zingine nzuri..
Naomba kama kuna mtu anahitaji kunisaidia kuzitengeneza vitabu tuwasiliane kwa no.+255653782825