Natafuta mfadhili..

sodeely

Senior Member
Oct 3, 2011
187
117
Mimi ni kijana wa kitanzania..nimejaaliwa kuwa na kipaji cha utunzi na uandishi wa riwaya..
Hadi sasa nimeishatunga riwaya nne kali..
Bahati mbaya 2 kuna mtu alijitolea kunisaidia lakini baadae akaingia nazo mitini..
Lakini kwa kuwa kipaji ninacho nimeandika zingine nzuri..
Naomba kama kuna mtu anahitaji kunisaidia kuzitengeneza vitabu tuwasiliane kwa no.+255653782825
 
Mie sijambo,riwaya ni hadithi ndefu za kubuni zenye visa vya kusisimua
 
ooooh, I see. ngoja tuone kama watakuja. ila ningekushauri upange maneno yako vizuuuuri, uanzishe thread kule jukwaa la biashara.
 
Mimi ni kijana wa kitanzania..nimejaaliwa kuwa na kipaji cha utunzi na uandishi wa riwaya..
Hadi sasa nimeishatunga riwaya nne kali..
Bahati mbaya 2 kuna mtu alijitolea kunisaidia lakini baadae akaingia nazo mitini..
Lakini kwa kuwa kipaji ninacho nimeandika zingine nzuri..
Naomba kama kuna mtu anahitaji kunisaidia kuzitengeneza vitabu tuwasiliane kwa no.+255653782825

Hivi sisi watanzania ndo tumekuwa watu wa kufadhiliwa kila kitu. Mbona itafika wakati wanaume tutatafuta wafadhili wa kuwatia mimba wake zetu???? Mfadhili wa kwanza ni akili yako mwenyewe bro, huwezi kuandika riwaya bila kuwa na business plan kama unategemea mapato kutokana na riwaya zako. Je umefanya utafiti wowote kujua vitabu vinaandikwaje? Je unategemea kuutengeneza vitabu vingapi na unatarajia kuuza kwa bei gani na unategemea kupata kiasi gani?
Mimi napata uchungu sana na ujinga wa watanzania wenzangu, sijui tumemkosea nini Mungu hadi tusitahili umbumbumbu huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom