Aisee, nasikia na ufugaji wa cobra unalipa sana.Nyuzi za operation na vibamia ni dili sana China.. Niliwahi kufanya maramoja .. Kilo moja iliyokaushwa si chini ya $30
Tangu niachane na ushirikina nimeamua kujikita kwenye biashara zisizojulikana na wengi ana zisizo za kawaida lakini halali na zenye malipo mazuri.. Na baadhi ya wana JF kwasasa wanafaidika nazo mfano
IDO FUEL
Tairi mbovu na mabaki yake
Black carbon powder
Scrap wire
Leeches nknk
Kiongozi mimi nina connection ya uhakika, na ninajuwa unataka kufanya nini.Kama una connections na wamiliki wenye meli mbovu (write off) nahitaji kununua ziwe kubwa ama ndogo
NB: zile na document kamili
Asante sana sana ngoja nifanye hivyo nitakupa mrejeshoMkuu hongera sana, hicho unakichofanya ni biashara ya pesa nyingi sana kwenye nchi za wenzetu.
Masoko katika biashara ya meli yapo ya aina kuu nne:
1. Freight market
2.Sale and purchase market
3. New ship building market
4. Demolition market
Wewe umeingia hapa kwenye "Demolition market", biashara hii ni ya meli zilizomaliza muda wake wa matumizi au zilizoharibika beyond repair kwa ajali za moto, kuzama etc.
Katika soko hili la "Demolition market" biashara hufanyika kati ya wamiliki wa meli na wavunjaji wa meli yani "ship owners" and "demolition merchants" na kuna madalali wapo pia.
Kuna sites unaingia unakuta watu wana-bid kununua dead ships, ukishinda meli yako inavutwa mpaka ulipotaka kuletewa.
Nchi zinazoongoza katika industry hii duniani ni Pakistan, Bangladesh na India.
Meli huwa recycled into other products kama nondo, waya etc.
Waweza ingia YouTube ucheki "where ships go to die"
Naomba tuonane PMKiongozi mimi nina connection ya uhakika, na ninajuwa unataka kufanya nini.
Mimi nimekwama vifaa tu inabidi niagize Marekani mambo yamebanana kidogo.
Kama vipi tuyajenge private tuunganishe nguvu kama vifaa unavyo mimi meli zipo.
Ipo ya MV Bukoba na MV Nyerere weka Michongo upate fastKama una connections na wamiliki wenye meli mbovu (write off) nahitaji kununua ziwe kubwa ama ndogo
NB: zile na document kamili
Kesi ya uhaini hiiIpo ya MV Bukoba na MV Nyerere weka Michongo upate fast
Anaulizia mbovu na mimi hizo ndizo nazifahamuKesi ya uhaini hii
Kumbe mali za Jamhuri zenyewe haichukui.Ziko wapi hizi? Zimeshavutwa nchi kavu? Hiyo ni mali ya jamhuri kuna utaratibu wa kuipata
Naweza mkuu nipatie mawasiliano yako niwacheki wadau..Million 30 mpaka 150 na zaidi kulingana na ukubwa.. Unaweza kuifanya hii mishe
Aina mbaya ngoja niingie chimbp nipe one week nitakuja na majibu.Tayari kaka check PM yako
Kwenye majaruba yangu ya mpunga wapo wengi...nipe connection mkuu.Leeches unawajua? Ulishawahi kujua kama ni dili kubwa?
Uwekezaji wake ni bwawa lenye tope na maji chakula chake damu ya wanyama...miezi mitatu unavuna.. Kilo unauza kwa dola.. Ishi mjini ufahamu mengiView attachment 1941968View attachment 1941969