maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,241
- 5,346
Weekend hii nahitaji mdada wa kuspend nae kwa jumamosi na jumapili umri si kigezo na urembo si ishu... Kwa alie mpweke na serious anipm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weekend hii nahitaji mdada wa kuspend nae kwa jumamosi na jumapili umri si kigezo na urembo si ishu... Kwa alie mpweke na serious anipm
mbona vigezo vichache ndugu yangu
Weekend hii nahitaji mdada wa kuspend nae kwa jumamosi na jumapili umri si kigezo na urembo si ishu... Kwa alie mpweke na serious anipm
to be honest feis buku umekaa utamumaatapeli wa mjini wamebadilisha mbinu!!
Mzima wewe?nitumie balance sheet statment.
cash flow
income statment tu kwanza nione financial position yako kwanza
utamuu! kama nn!!!to be honest feis buku umekaa utamu
nitumie balance sheet statment.
cash flow
income statment tu kwanza nione financial position yako kwanza
ubini wako nani??Weekend hii nahitaji mdada wa kuspend nae kwa jumamosi na jumapili umri si kigezo na urembo si ishu... Kwa alie mpweke na serious anipm
Weekend hii nahitaji mdada wa kuspend nae kwa jumamosi na jumapili umri si kigezo na urembo si ishu... Kwa alie mpweke na serious anipm
nitumie balance sheet statment.
cash flow
income statment tu kwanza nione financial position yako kwanza
Mwambie huyo akasome IAS 1
Popote pale wanapotumia dola mkuuKazi kwenu wahusika,pedejee huyo ndo anatokea nyarugusu na madola kibao baada ya kuuza zaabu anatafuta wa kumchuna weekend.Maishapopote maraha una plan kuyalia wapi kempinski,seacliff,muvenpik au baharini kule kunduchi? wambie kabisa wajue we mshefa wa ukweli na maeneo yako sio kwa mtogole,hahahahhaa pesa bana kitu kizuri kweli,ukiwa nazo unaona ka vile fulltime uko kwenye kubembea mode.
Bajeti yangu ni kama dola 4000 kwa siku mbilinitumie balance sheet statment.
cash flow
income statment tu kwanza nione financial position yako kwanza