chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 338
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu
Natafuta mfanyakazi wa NDANI pls....
Masharti
1. Awe na umri usiopungua miaka 17 na usiozidi 19 au 20.
2. Asiwe ametoka kumaliza darasa la saba mwaka huu
3.Asiwe anatoka mjini na awe tayari kutumia nauli yake mpaka kufika nilipo.
Mshahara ni 30 elfu
Kazi kubwa ni usafi wa ndani na mtoto
Natafuta mfanyakazi wa NDANI pls....
Masharti
1. Awe na umri usiopungua miaka 17 na usiozidi 19 au 20.
2. Asiwe ametoka kumaliza darasa la saba mwaka huu
3.Asiwe anatoka mjini na awe tayari kutumia nauli yake mpaka kufika nilipo.
Mshahara ni 30 elfu
Kazi kubwa ni usafi wa ndani na mtoto