natafuta mchumba,,,,,

cheusimangala

JF-Expert Member
Feb 27, 2010
2,585
497
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angle,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL
 
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angel,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL
Hapo kwenye nyekundu unaonekana haupo singo. Kwa hiyo unataka kumpiga chini uliyenaye? Lakini kwa sifa ulizoeleza kwamba umeoteshwa, nahisi nitakuwa ni mimi. Hebu ni PM basi tupange appointement.
 
Usiamini kila ndoto kuwa zinatoka kwa Mungu, sometimes is from what you are always longing to.
 
Hapo kwenye nyekundu unaonekana haupo singo. Kwa hiyo unataka kumpiga chini uliyenaye? Lakini kwa sifa ulizoeleza kwamba umeoteshwa, nahisi nitakuwa ni mimi. Hebu ni PM basi tupange appointement.

roho kanikataza kufanya hivyo,kasema yeye atarekebisha kila kitu.na nilipomtajia jina lako akanionesha taa nyekundu.
 
huwa najivunia ninapo sikia heshima na upole wakoooooooo,kwa watu wa pembeni............,naupenda sana huu wimbo
 
Bora umekuwa muwazi. Single wa JF mko wapi jamani dili hilooo!! Changamkeni Kimey upo? Dili hilo
 
roho kanikataza kufanya hivyo,kasema yeye atarekebisha kila kitu.na nilipomtajia jina lako akanionesha taa nyekundu.

Duh, hapa sasa hapatoshi! Ili kujiweka pazuri zaidi, naungana na wewe katika maombi ili Mungu akuonyesha live huyo ubavu wako halali uliyeonyeshwa katika maono! Lakini bado nina imani kwamba mwisho wa siku nitakuwa ni mimi, kwa kuwa nina sifa zote ulizozitaja.
 
Are you serious au unatania maana kama nilivyokuona kwenye picha kama ni yako au la unatisha una figa namba nane, nimekupenda uko wapi nitafute kwa namba hii 0719771022 halafu mambo mengine baadae, Ok !
 
Kwa kuwa hauko single naomba umwache uliye naye then ni PM kwa sababu uliyemwona kwenye ndoto ni mimi, nilikuwa kanisani na shati la kitenge na viatu vya four angle then nilivyorudi home nikabadili nguo nikavaa Tshirt na jnsi nikaenda beach.
 
Are you serious au unatania maana kama nilivyokuona kwenye picha kama ni yako au la unatisha una figa namba nane, nimekupenda uko wapi nitafute kwa namba hii 0719771022 halafu mambo mengine baadae, Ok !

roho hajanionesha hivyo.
 
Hiyo sura uliyoiota, sura yake ilikuwa ya kizee au serengeti boys?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom