Bank detail za miaka 3 na kuendelea:bowl:
safi sana....... MR upo?
Nipo nimekonda kwa kukukosa:smile-big:
Nahitaji mke so nimeamua kutafuta mchumba atakae kuja kwa my wife,sihitaji mwanafunzi wa sekondari,kama wa chuo poa,awe anajua majukumu yake,unaweza kunipata pia kwa namba hizi,0652505115,0769072588 na 0786256380,umri kuanzia miaka 23 hadi 35
dah kweli mungu katimiza hitaji la moyo wangu
usiku nilioteshwa leo ntakutana na PUMBAZO LA MOYO WANGU JF
sasa sweeeeeeeeeeet hat,baba watoto ebu fanya ivi
kamwone finest au roy au teamo wakukague kwanza ao wakirizika basi mke umepata
uje na funguo mokonon,hati ya nyumba (ya mbez si ya manzese)benk statement na vivuli vya certificate zako
m here swwwwwetie watng 4u!!!!
dah kweli mungu katimiza hitaji la moyo wangu
usiku nilioteshwa leo ntakutana na PUMBAZO LA MOYO WANGU JF
sasa sweeeeeeeeeeet hat,baba watoto ebu fanya ivi
kamwone finest au roy au teamo wakukague kwanza ao wakirizika basi mke umepata
uje na funguo mokonon,hati ya nyumba (ya mbez si ya manzese)benk statement na vivuli vya certificate zako
m here swwwwwetie watng 4u!!!!
Hivi kweli sisi ataweza kutu-afford kabla ya kukupa hivyo vitu ajiandae vizuri akiwa anakuja kwetu ili aongee vizuri na sisi otherwise itakula kwake
Katoa mawasiliano nadhani hataki watu wengine wajue kazi yake ila wale waliosiriasi.Kazi yako tafadhali, tusijepeleka binti zetu kwa majambawazi ..........:nono:
Kwani huko kwenu hakuna wachumba, hata mtaani au kijijini kwenu.Nahitaji mke so nimeamua kutafuta mchumba atakae kuja kwa my wife,sihitaji mwanafunzi wa sekondari,kama wa chuo poa,awe anajua majukumu yake,unaweza kunipata pia kwa namba hizi,0652505115,0769072588 na 0786256380,umri kuanzia miaka 23 hadi 35
weka kazi na incoming yako kwa mwezi,una biashara yeyote hapa mjini??kiwanja na gari tayari au ndo bado.......