Natafuta mchumba

Mtama

Member
Nov 8, 2010
63
0
Nahitaji mke so nimeamua kutafuta mchumba atakae kuja kwa my wife,sihitaji mwanafunzi wa sekondari,kama wa chuo poa,awe anajua majukumu yake,unaweza kunipata pia kwa namba hizi,0652505115,0769072588 na 0786256380,umri kuanzia miaka 23 hadi 35
 
Kazi yako tafadhali, tusijepeleka binti zetu kwa majambawazi ..........:nono:
 
Karibu mkuu naona umeingilia kwenye jukwaa la mapenzi na si kujitambulisha. But utakuwa mwenyeji tu, hivi una id ngapi? Back to ze mada, nakutakia mafanikio mema katika kumpata umpendaye!
 
weka kazi na incoming yako kwa mwezi,una biashara yeyote hapa mjini??kiwanja na gari tayari au ndo bado.......
 
mmhhh kwa kweli
naona kila mtu anayeingia anatafuta mpenzi/mchumba au antaka kuoa kabisa..
 
Nahitaji mke so nimeamua kutafuta mchumba atakae kuja kwa my wife,sihitaji mwanafunzi wa sekondari,kama wa chuo poa,awe anajua majukumu yake,unaweza kunipata pia kwa namba hizi,0652505115,0769072588 na 0786256380,umri kuanzia miaka 23 hadi 35

kaka ingekuwa fresh kama ungejieleza kidogo kuhusu wewe mnyewe
utuambie na umri wako....
 
dah kweli mungu katimiza hitaji la moyo wangu
usiku nilioteshwa leo ntakutana na PUMBAZO LA MOYO WANGU JF
sasa sweeeeeeeeeeet hat,baba watoto ebu fanya ivi
kamwone finest au roy au teamo wakukague kwanza ao wakirizika basi mke umepata
uje na funguo mokonon,hati ya nyumba (ya mbez si ya manzese)benk statement na vivuli vya certificate zako
m here swwwwwetie watng 4u!!!!
 
dah kweli mungu katimiza hitaji la moyo wangu
usiku nilioteshwa leo ntakutana na PUMBAZO LA MOYO WANGU JF
sasa sweeeeeeeeeeet hat,baba watoto ebu fanya ivi
kamwone finest au roy au teamo wakukague kwanza ao wakirizika basi mke umepata
uje na funguo mokonon,hati ya nyumba (ya mbez si ya manzese)benk statement na vivuli vya certificate zako
m here swwwwwetie watng 4u!!!!

Hivi kweli sisi ataweza kutu-afford kabla ya kukupa hivyo vitu ajiandae vizuri akiwa anakuja kwetu ili aongee vizuri na sisi otherwise itakula kwake
 
dah kweli mungu katimiza hitaji la moyo wangu
usiku nilioteshwa leo ntakutana na PUMBAZO LA MOYO WANGU JF
sasa sweeeeeeeeeeet hat,baba watoto ebu fanya ivi
kamwone finest au roy au teamo wakukague kwanza ao wakirizika basi mke umepata
uje na funguo mokonon,hati ya nyumba (ya mbez si ya manzese)benk statement na vivuli vya certificate zako
m here swwwwwetie watng 4u!!!!

Mimi nitahitaji audited finacial accounts za miaka mitano iliyopita za biashara zake, kama zipo poa nampa green light aje kwako.
 
Hivi kweli sisi ataweza kutu-afford kabla ya kukupa hivyo vitu ajiandae vizuri akiwa anakuja kwetu ili aongee vizuri na sisi otherwise itakula kwake

km ananipenda kweli atatenda km nilivyomwambia MCHUMBA ANGU MPYA MWENYEWE!!!!!!
 
Nahitaji mke so nimeamua kutafuta mchumba atakae kuja kwa my wife,sihitaji mwanafunzi wa sekondari,kama wa chuo poa,awe anajua majukumu yake,unaweza kunipata pia kwa namba hizi,0652505115,0769072588 na 0786256380,umri kuanzia miaka 23 hadi 35
Kwani huko kwenu hakuna wachumba, hata mtaani au kijijini kwenu.
 
Ndugu yangui kama ulitemea msaada humu umepotea njia,, ila kama unaifanya cku iende vyema basi hapa jf ndio penyewe hasa
 
ndugu yangu kama ni jamatini basi pashaingia goro hapo, na hapakaliki tena, anua janvi uondoke, hivyo vigezo ulivyotangaziwa na huyo mchumba wako mtarajiwa vinatisha as if unataka kununua kampuni, bado utaambiwa na security deposits kiasi flani just jiandae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom