saitama_kein
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 981
- 99
Wana JF nina tatizo la domo zenge na umri wangu wote huu (miongo mitatu naa) sijapata mchumba wala mke!!
Nahitaji mchumba...jinene hivi lakini si unene wa mchina, miaka 30 mpaka 35, elimu fomu 4 na kuendelea, awe na shughuli yake binafsi, asiwe na mtoto....barua ya kwanza CV na picha viambatanishwe......................:A S 8:
Mpaka sasa nimepokei maombi 23....ila kati yao ni 12 tu ndiyo yametiza masharti!!! Mwisho wa kupokea maombi ni Jumamosi tarehe 15 saa 9 mchana.....shime jitokezeni maana nipo MORE THAN SERIOUS. Mchakato mzima wa kumpata THE RIGHT ONE utakuwa wazi na kujadiliawa humu ndani.....maombi ya jinsi ya kuendesha zoezi hilo yanakaribishwa!!!
Nahitaji mchumba...jinene hivi lakini si unene wa mchina, miaka 30 mpaka 35, elimu fomu 4 na kuendelea, awe na shughuli yake binafsi, asiwe na mtoto....barua ya kwanza CV na picha viambatanishwe......................:A S 8:
Mpaka sasa nimepokei maombi 23....ila kati yao ni 12 tu ndiyo yametiza masharti!!! Mwisho wa kupokea maombi ni Jumamosi tarehe 15 saa 9 mchana.....shime jitokezeni maana nipo MORE THAN SERIOUS. Mchakato mzima wa kumpata THE RIGHT ONE utakuwa wazi na kujadiliawa humu ndani.....maombi ya jinsi ya kuendesha zoezi hilo yanakaribishwa!!!