Natafuta mchumba

dorin

JF-Expert Member
Jan 29, 2010
267
285
Hey wanajamii.
Mimi ni msichana mwenye Umri wa miaka 28.
Mhasibu katika shirika moja lisilo la kiserikali hapa Tanzania.
mshahara sio mkubwa sana lakini unakidhi mahitaji yangu.
ninaishi sinza Madukani.
Ninaona umri unazidi kuyoyoma lakini bado sijampata wangu wa maisha.
who ever is ready for a serious relationshi please PM me.
Repply to only seroius Guyz!

Wasfu:
1. awe Mkristu
2.asiwe mnywa pombe.
3. If employed or not I dont care!
 
Haya kwa wale wanaopenda kulelewa hapo fasta jamani mtoto kasema hata wasio na kazi kwake ni poa tu ana uwezo wa kumlea. Madenti vipi sis nao ruksa katika category zako? Manake watamiminika wengi na application hapa.

NB: Mchujo utapita kwa wakware
 
Thanks alot! I think The applications are enough now! please let me read the 104 private massages first. Wakuu aplications zimetosha! Asanteni sana. For those who have Sent me PMs Expect your repplies in two weeks time. Asanteni sana jamani.
 
He he ..vidume humu vinaonekana ni madomo zege, ujanja wa kugombana na keyboard tu. Haya expect to hear from TISS sooner than that. :D :D
 
Thanks alot! I think The applications are enough now! please let me read the 104 private massages first. Wakuu aplications zimetosha! Asanteni sana. For those who have Sent me PMs Expect your repplies in two weeks time. Asanteni sana jamani.

Aya weee kuna jamaa yangu anavigezo hivyo vyote nimemwambia akasema yuko mbioni kuandiaka CV aitume, vip kachelewa dadaaaa
 
Thanks alot! I think The applications are enough now! please let me read the 104 private massages first. Wakuu aplications zimetosha! Asanteni sana. For those who have Sent me PMs Expect your repplies in two weeks time. Asanteni sana jamani.

hauko serious wewe! Jibu ya kwangu mapema zaidi ukiweza
 
Aya weee kuna jamaa yangu anavigezo hivyo vyote nimemwambia akasema yuko mbioni kuandiaka CV aitume, vip kachelewa dadaaaa

Nimepata applications nyingi. Actually among these applications I have one guy who is actually more than serious!! Asante kwa mwanzilishi wa JF.
 
Thanks alot! I think The applications are enough now! please let me read the 104 private massages first. Wakuu aplications zimetosha! Asanteni sana. For those who have Sent me PMs Expect your repplies in two weeks time. Asanteni sana jamani.


Dorini,

Hukuweka deadline kwenye tangazo lako na kwa hiyo hautakuwa unatenda haki kuwafungia watu ambao bado wanajiandaa ikiwemo kupiga picha mara mia mia kama former presida wetu Nkapa! Nakushauri uendelee kupokea maombi. Pia upitie basi thread za watu na kuwapa majibu. Mshikaji wangu Masa bado anasubiri picha ya upande wa nyuma (siyo mbele, hahahaha). Mtendee haki basi. Anaweza kuwa ndo mume mwenyewe huyo!!!:rolleyes::rolleyes:
 
Dorini,

Hukuweka deadline kwenye tangazo lako na kwa hiyo hautakuwa unatenda haki kuwafungia watu ambao bado wanajiandaa ikiwemo kupiga picha mara mia mia kama former presida wetu Nkapa! Nakushauri uendelee kupokea maombi. Pia upitie basi thread za watu na kuwapa majibu. Mshikaji wangu Masa bado anasubiri picha ya upande wa nyuma (siyo mbele, hahahaha). Mtendee haki basi. Anaweza kuwa ndo mume mwenyewe huyo!!!:rolleyes::rolleyes:

Utulivu=0
Masa. Am Really Serious.
Its my life am Talking about. Just take me seroius.
Thanks again For The PMS Guys.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom