Natafuta mchumba

Kikolu

New Member
Jun 4, 2013
2
0
Habari wana JF, najitokeza nikiwa serious kabisa, natafuta mchumba. Mimi ni mwanamke, hivyo natafuta mchumba wa kiume. Umri kuanzia miaka 35 mpaka 41. Natafuta mchumba mwenye umri huu kwani wengi walio kwenye umri huu wameshaanza kuwa na akili za kiutu uzima hivyo jamani naomba msinishambulie sana. Dunia ya sasa imeharibika sana hivyo natafuta mtu anayemfahamu Mungu, awe mkristo, elimu nayo ni muhimu siku hizi hivyo naomba sana atakayeniandikia awe na elimu kuanzia chuo kikuu. Pia asiwe amewahi kuoa au asiwe na watoto, najua watu mtanishambulia kwa hili, lakini watu wa hivi wapo. Aliye tayari na aliye serious kuhusu swala hili naomba aniandikie kwenye email address:

suzykimbo@yahoo.com
 
Habari wana JF, najitokeza nikiwa serious kabisa, natafuta mchumba. Mimi ni mwanamke, hivyo natafuta mchumba wa kiume. Umri kuanzia miaka 35 mpaka 41. Natafuta mchumba mwenye umri huu kwani wengi walio kwenye umri huu wameshaanza kuwa na akili za kiutu uzima hivyo jamani naomba msinishambulie sana. Dunia ya sasa imeharibika sana hivyo natafuta mtu anayemfahamu Mungu, awe mkristo, elimu nayo ni muhimu siku hizi hivyo naomba sana atakayeniandikia awe na elimu kuanzia chuo kikuu. Pia asiwe amewahi kuoa au asiwe na watoto, najua watu mtanishambulia kwa hili, lakini watu wa hivi wapo. Aliye tayari na aliye serious kuhusu swala hili naomba aniandikie kwenye email address:

suzykimbo@yahoo.com

ushanipata mdada....ondoa shaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom