Naitwa Sam
Miaka 35
Naishi moshi
Kazi yangu biashara
Kabila mchaga
Dini Mkristo,, KKKT
Mweusi mrefu
Sio mnene wala mwembamba sana
NATAFUTA MKE MTARAJIWA MWEYE VIGEZO VICHACHE TU KM IFUATAVYO:
Jina lolote
Kabila lolote
Dini yoyote
Umri kuanzia 25- 35
Awe anaishi mkoa wowote
Awe na kazi yoyote halali haijalishi ht km ya kipato kidogo mradi anajishughulisha
Awe mweupe au mweusi
Awe mwembamba au mnene
Kama ana watoto bas si zaidi ya wawili.
Ni hayo tu mengine tutarekebishana na kuvumiliana.
NB; NAJUA WENGI MTASEMA HUMU HUWEZI PATA MKE NAJUA ILA MKE AU MUME ANAPATIKANA POPOTE TU HT HUMU WAPO PIA MI NAAMINI HIVYO MAANA WAPO WALIOPATA TUSIKATISHANE TAMAA. KAMA YUPO MWANAMKE MWENYE UHITAJI NA YUPO SERIOUS NJOO DM TUFAHAMIANE ZAIDI NA HUKO KILA KITU UTAKIPATA PICHA NA MAMBO MENGINE. Karibu sana. Asanteni.
Miaka 35
Naishi moshi
Kazi yangu biashara
Kabila mchaga
Dini Mkristo,, KKKT
Mweusi mrefu
Sio mnene wala mwembamba sana
NATAFUTA MKE MTARAJIWA MWEYE VIGEZO VICHACHE TU KM IFUATAVYO:
Jina lolote
Kabila lolote
Dini yoyote
Umri kuanzia 25- 35
Awe anaishi mkoa wowote
Awe na kazi yoyote halali haijalishi ht km ya kipato kidogo mradi anajishughulisha
Awe mweupe au mweusi
Awe mwembamba au mnene
Kama ana watoto bas si zaidi ya wawili.
Ni hayo tu mengine tutarekebishana na kuvumiliana.
NB; NAJUA WENGI MTASEMA HUMU HUWEZI PATA MKE NAJUA ILA MKE AU MUME ANAPATIKANA POPOTE TU HT HUMU WAPO PIA MI NAAMINI HIVYO MAANA WAPO WALIOPATA TUSIKATISHANE TAMAA. KAMA YUPO MWANAMKE MWENYE UHITAJI NA YUPO SERIOUS NJOO DM TUFAHAMIANE ZAIDI NA HUKO KILA KITU UTAKIPATA PICHA NA MAMBO MENGINE. Karibu sana. Asanteni.