Natafuta mchumba

Parata

JF-Expert Member
Jul 26, 2011
3,090
675
Mimi ni mvulana nina umri wa miaka 23 natafuta mchumba ili baadaye aje kuwa mke wangu please im siriaz
contact0755359708

napenda aliye siriaz tu
 
mbona bado we mdogo sana...umemaliza majukumu yote ya masomo kweli?
 
<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">mbona bado we mdogo sana...umemaliza majukumu yote ya masomo kweli?</span></font></font>
<br />
<br />
Acha kumbania dogo anahitaji kumiliki roho ya mke!!
 
Sidhani kama upo sahihi kwa kusema me mdogo embu nipe umri wa mkubwa au criteria labda cjajua
 
Mimi ni mvulana nina umri wa miaka 23 natafuta mchumba ili baadaye aje kuwa mke wangu please im siriaz
contact0755359708

napenda aliye siriaz tu
kwa wake wa siku hzi kwenye red hapo ushawakosa..................huh
 
Dogo, Nadhani you are not really serious! Yaani uko mitaani kwenu umekosa mabinti wa kuoa, umeona ktk mitandao ndiko wachumba walipo! Hauko serious. Una Tembo card?
 
Afadhal ww umehamua kuoa mapema uanze kuwajibik, coz km rafk yangu ana kimbilia 30 hata wazo hana, yy na mech za ugenn tu, anadai bado mdogo, ss rafk yangu mbona hata sifa za mchumba hujataja mfano umr, elim, din, kabila, rang, kaz kipato, anakoish nk ili upate anaekufaa vinginevo utaopoa micharuko bana mdogo
 
Ok kwa vigezo ni
umri:asizidi miaka 23

elimu:awe amemaliza form six na kuendelea

la muhimu zaid ni ukwel na uwazi pia uaminifu.
 
Cjui una maana gan ila naheshimu maon yako kaka yangu
Dogo, Nadhani you are not really serious! Yaani uko mitaani kwenu umekosa mabinti wa kuoa, umeona ktk mitandao ndiko wachumba walipo! Hauko serious. Una Tembo card?
<br />
<br />
 
Wachumba wa mitandao sio ishu dogo komaa hapo kitaa mbona wapo wa kutosha ila kama unaimani ya dini yeyote ni vizuri ukatafute kanisani au msikitini.
 
Kijana we bado mdogo sana kuhusu suala la mchumba litakuumiza kichwa cha msingi maliza mambo yako ya shule kwanza then ndio utafute huyo unayemtaka
 
Dogo ukupata hata moja huko chuoni au O-level AU A-level ulikopita?Au msikitini au kanisani?Kam huko kote umekosa hapa kwenye mitandao kazi kwelikweli kupata.Soma bado .Kwa haraka haraka umzaliwa 1988 kwa hiyo bado unatakiwa uwe chuo au ndo unaingia chuo..
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom