ndusyepo
Senior Member
- Jul 2, 2013
- 165
- 41
Habarini zenu wana JF,
Kwa jina naitwa Langston, nimejitokeza hapa kwa lengo moja tu kubwa la kutafuta ubavu wangu, mi ni mwajiriwa naishi Dar maeneo ya Tabata, umri wangu ni 24 ni mweusi na mrefu na elimu yangu ni diploma.
Sifa kuu ya binti uwe unajua kupenda na uwe mkweli pia uwe unajishughulisha yaani uwe mtafutaji pia uwe mkazi wa Dar es Salaam, dini yeyote.
Kwa uliyetayari please njoo PM .
NB: NIKO SERIOUS SANA PLEASE HUTANI SITAKI.
Kwa jina naitwa Langston, nimejitokeza hapa kwa lengo moja tu kubwa la kutafuta ubavu wangu, mi ni mwajiriwa naishi Dar maeneo ya Tabata, umri wangu ni 24 ni mweusi na mrefu na elimu yangu ni diploma.
Sifa kuu ya binti uwe unajua kupenda na uwe mkweli pia uwe unajishughulisha yaani uwe mtafutaji pia uwe mkazi wa Dar es Salaam, dini yeyote.
Kwa uliyetayari please njoo PM .
NB: NIKO SERIOUS SANA PLEASE HUTANI SITAKI.