mwanairinga
Senior Member
- Dec 21, 2015
- 179
- 12
Habari wana jf,
Mimi ni kijana wa kiume naishi dar nimeajiriwa na taasisi ndogo ya fedha dar,natafuta mchumba ambaye yupo serious mwenye vigezo vifutavyo
1.awe mkisto
2.awe mrefu wastani na mnene wa kati rangi mweusi
3.awe tayari kwenda kupima HIV
Mimi ni kijana wa kiume naishi dar nimeajiriwa na taasisi ndogo ya fedha dar,natafuta mchumba ambaye yupo serious mwenye vigezo vifutavyo
1.awe mkisto
2.awe mrefu wastani na mnene wa kati rangi mweusi
3.awe tayari kwenda kupima HIV