Captain 666
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 648
- 1,187
Habari wakuu kwa ujumla na wadada na wamama mliomo hapa.
Natafuta mchumba wa kuoa . Narudia wa kuoa na kuishi nae. Awe dini yeyote, kabila lolote, elimu yeyote japo akiwa mchamungu itapendeza zaidi .
Akiwa na mtoto jpo mmoja pia sio mbaya. Umri kuanzia 28 Hadi 35 .
Mm umri wangu ni 45 na Nina watoto 4 .
My take:
Ukiona haikuhusu usiongee mambo mengi
Natafuta mchumba wa kuoa . Narudia wa kuoa na kuishi nae. Awe dini yeyote, kabila lolote, elimu yeyote japo akiwa mchamungu itapendeza zaidi .
Akiwa na mtoto jpo mmoja pia sio mbaya. Umri kuanzia 28 Hadi 35 .
Mm umri wangu ni 45 na Nina watoto 4 .
My take:
Ukiona haikuhusu usiongee mambo mengi