Nkurukumbi
Senior Member
- Sep 6, 2013
- 196
- 76
Nina umri wa miaka 28, mtumishi wa serikali katika wizara fulani hapa Dar, urefu wangu 175-180cm, unene 75kg. elimu yangu degree holder, sura yangu maji ya kunde. Napendelea kuwatch football na kutoka out hasa sehemu za mbali na jiji.
Sifa za ninayemuhitaji
Umri=18-27
kabila=lolote tu
Elimu=kuanzia form 4 mpk degree
Sura= ya kuvutia, rangi yoyote tu
Dini= Mkristo au dini nyingine aliye tayari kubadili.
Aliye tayari anitumie PM.
Sifa za ninayemuhitaji
Umri=18-27
kabila=lolote tu
Elimu=kuanzia form 4 mpk degree
Sura= ya kuvutia, rangi yoyote tu
Dini= Mkristo au dini nyingine aliye tayari kubadili.
Aliye tayari anitumie PM.