hello jf
Nina miaka 27, kijana wa kiume, mkazi wa dsm , elimu yangu ni shahada ya uhandisi, mrefu wa wastani , pia mwili wangu ni wa wastani na rangi ya kunde.
napendelea mpira wa miguu, kuogelea na muvi.
situmii pombe, sigara wala sio mtu wa club za usiku
mimi ni mkristo, kabila yangu mjita na ndio naanza maisha, ninampenda Mungu
actually tatizo pekee nililonalo napenda sana kazi yangu hivo muda mwingi nakua busy na pc
sifa za mchumba
awe mkristo
awe ana hofu ya Mungu
asiwe mlevi
awe tayari kupima ukimwi
awe angalau kamaliza kidato cha nne
awe tayari kusubiri mpaka ndoa bila kukutana kimwili
awe tayari kuanza maisha, namwenye uwezo mkubwa wa kufikiri kwa haraka na subira
awe tayari kunipenda kwa dhati
awe mrefu wa wastani, asiwe mnene
awe na umri usiozidi miaka 23
awe mjasiriamali/ mwenye kujali kuhusu kesho
alie tayari, ani pm
Nina miaka 27, kijana wa kiume, mkazi wa dsm , elimu yangu ni shahada ya uhandisi, mrefu wa wastani , pia mwili wangu ni wa wastani na rangi ya kunde.
napendelea mpira wa miguu, kuogelea na muvi.
situmii pombe, sigara wala sio mtu wa club za usiku
mimi ni mkristo, kabila yangu mjita na ndio naanza maisha, ninampenda Mungu
actually tatizo pekee nililonalo napenda sana kazi yangu hivo muda mwingi nakua busy na pc
sifa za mchumba
awe mkristo
awe ana hofu ya Mungu
asiwe mlevi
awe tayari kupima ukimwi
awe angalau kamaliza kidato cha nne
awe tayari kusubiri mpaka ndoa bila kukutana kimwili
awe tayari kuanza maisha, namwenye uwezo mkubwa wa kufikiri kwa haraka na subira
awe tayari kunipenda kwa dhati
awe mrefu wa wastani, asiwe mnene
awe na umri usiozidi miaka 23
awe mjasiriamali/ mwenye kujali kuhusu kesho
alie tayari, ani pm