Wgr30
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 1,770
- 2,374
hapa kwenye hii miaka sina hakika kama utampata!!Awe na miaka kuanzia 35-45,
hapa napo umejichanganya bila kujua, unadhani mwanaume mwenye miaka 35+ mwenye pesa kazipata mwenyewe au unatafuta mchepuko!!!Mimi Sina hela kwa hiyo sitaki mwanaume mwenye shida Kama zangu