Nakutakia heri mungu akupatie mchumba kama alivyonipatia mie wangu kutoka hapa hapa.
Tanguliza maombi kwani ni muhimu.
Kila la kheri.
JF hakuna muowaji wachapaji wapo tena wa kumwaga mume bora hutoka kwa Mungu! Dumu katka maombi
funga kwa siku saba utampata
Mtumishi kwa hiyo sie wote humu JF hatutoki kwa mungu?JF hakuna muowaji wachapaji wapo tena wa kumwaga mume bora hutoka kwa Mungu! Dumu katka maombi
heee kazi ipo???
Orait orait kumbe hommie na wewe mchapaji lol!!Mtumishi kwa hiyo sie wote humu JF hatutoki kwa mungu?
Mimi niko 28 natafuta mume.
Awe mkristo, awe serious na maisha.
Nategemea tutasaidiana kimaisha maana nami nimesoma nina degree na niko shule nasoma masters kwa wakati huu.
Kupima afya ni first greetings na kushiriki kwenye maombi ni muhimu.
Mengine tutauzana kwa atakaye nicontact.
Aliye serious ani email at m82y2k@yahoo.com
Na wee funga tu pia utampata!