Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
habari zenu wapenda mimi ni kijana(mwanaume) mwenye umri wa miaka 28 nina elimu ya chuo kikuu niamajeriwa nina tafuta mwenza wangu awe na sifa zifuatazo
1.mkristo
2.wa wastani(si mnene sana wa si mwembamba sana)
3 awe ana elimu walau form 4 na kuendelea
4.umri miaka 19-26
4.anayejtambua kuwa ni mwanamke na anayehitaji kuthaminiwa kama mama wa watoto
MIMI BINAFSI BAADHI YA SIFA ZANGU NI
engineer by profession
.maji ya kunde
.mwili wastani
.mnyamwezi
kwa maelezo zaidi unaweza nitumia private message .
pia unaweza mueleza rafiki yako kama unaona anavigezo ukipata bahati ya kupitia post hii ASANTENI
1.mkristo
2.wa wastani(si mnene sana wa si mwembamba sana)
3 awe ana elimu walau form 4 na kuendelea
4.umri miaka 19-26
4.anayejtambua kuwa ni mwanamke na anayehitaji kuthaminiwa kama mama wa watoto
MIMI BINAFSI BAADHI YA SIFA ZANGU NI
engineer by profession
.maji ya kunde
.mwili wastani
.mnyamwezi
kwa maelezo zaidi unaweza nitumia private message .
pia unaweza mueleza rafiki yako kama unaona anavigezo ukipata bahati ya kupitia post hii ASANTENI