Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 61,948
- 156,115
Labda anaamini mjeshi atakuwa fit kwenye chachandu, kumlinda, kujiheshimu, unadhifu, uhakika wa ajira, kujituma nyumbani, au labda ni mapendeleo yake tu..
Ila siye JKT wa mujibu wa sheria tumekosa bahati yetu..
Miss u
Mimi nina miaka 28Mimi ni mwanamke, Natafuta mchumba ambaye tutaweza kuanzisha familia pamoja,
Baadhi ya sifa zangu
1.Mimi ni mwanamke wa kawaida tu,
2.Nimeajiriwa
3.sina mtoto wala sijawai kuolewa
4.30yrs
5.Elimu chuo
6. Dini Mkristo
Mengine tutaelezana PM.
Sifa za mwanaume nimtakaye
1. Awe ameajiriwa au kujiajiri katka sekta yoyote ile but akiwa mwanajeshi itakuwa vizuri zaidi
2.Awe na Elimu kuanzia form4
3.Awe na miaka kat ya 31_36
4.Dini awe mkristo
5.kabila lolote lile.
N.B nitafurahi sana kama nitapata hitaji LA moyo wangu, nitakupenda daima.
Karibuni Pm but kwa aliyeserious kabsa
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamkawihii kuiibiana nyie
Ulazima upo acheni masiharaKuna ulazima gani mwanamme awe amekuzidi umri kwenye mahusiano?
Ahsante sana kwa kunifumbua macho, Niliuliza sababu nawapenda wanajeshi vile tu huwa 'wanajiamini'..! Ndiyo maana nilitaka kufahamu hili kiundani.!
Naomba nieleweshe sentensi yako ya mwisho tafadhali.!
Ndo nimetoka kuchukua nyota moja pale magogoni. Naenda home kusalimia kwanza 2wks lini mwisho wa kutuma maombi. Pia ningependa kujua kama kuna interview
Sent using Jamii Forums mobile app
J3 nitakuwa kuwekea mpunga wa kwenye akaunti wa maandalizi
Sawa babeJ3 nitakuwa kuwekea mpunga wa kwenye akaunti wa maandalizi
Ni kuruta. Wachache sana wanaelewa hili tuko kama reserve army..Mkuu - hata wewe kwa mujibu wa sheria ni Mwanajeshi. Force Number si unayo? Usijitoe...
Wa viben ten utawajuwa tu kwa maswali yao.Kuna ulazima gani mwanamme awe amekuzidi umri kwenye mahusiano?