Bugota
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 265
- 145
Wana Jamvi salama jamani.
Karibuni katika jukwaa let us la kilimo na mifugo.
Mimi ni mmoja wa wafugaji wadogo magharibi mwa Tanzania ninafuga ng'ombe na mbuzi wa kienyeji.
Nina hitaji la kuboresha mbegu ya mbuzi wangu ili kupata mbegu bora ya mbuzi wa nyama wanaokua kwa haraka zaidi.
Nina shida na mbegu ya madume wafuatao kama wapo hapa Tanzania:
1. Savanna
2. Boar
Nimekuwa nikifuatilia mafundisho ya mjasiliamali mmoja aliyepo Uganda anaitwa HAMIISI SEMANDA ambapo amekuwa akionyesha kuwa mbegu hizi za mbuzi aina ya Savanna na Boar ni nzuri sana na tayari wao kule Uganda wameenda mbali hadi level ya Ranchi kubwa za maelfu ya mbuzi..
Sijui ka
Karibuni katika jukwaa let us la kilimo na mifugo.
Mimi ni mmoja wa wafugaji wadogo magharibi mwa Tanzania ninafuga ng'ombe na mbuzi wa kienyeji.
Nina hitaji la kuboresha mbegu ya mbuzi wangu ili kupata mbegu bora ya mbuzi wa nyama wanaokua kwa haraka zaidi.
Nina shida na mbegu ya madume wafuatao kama wapo hapa Tanzania:
1. Savanna
2. Boar
Nimekuwa nikifuatilia mafundisho ya mjasiliamali mmoja aliyepo Uganda anaitwa HAMIISI SEMANDA ambapo amekuwa akionyesha kuwa mbegu hizi za mbuzi aina ya Savanna na Boar ni nzuri sana na tayari wao kule Uganda wameenda mbali hadi level ya Ranchi kubwa za maelfu ya mbuzi..
Sijui ka