Mkuu ulipata? mimi nafugia Kerege bagamoyo ila mradi bado ndio umeanza nina mbuzi wa nyama mbegu kubwa aina ya GALLA/ISOLO na BOAR nategemea kuzalisha kwanza ndio nianze kuuzaNipe mawasiliano na kama unawajua fika basi nielekeze ni wilaya gani na sehemu gani ili nitume watu wangu wa karibu walioko Mbeya wakathibitishe