Ndg: zangu wana jf,ningelipenda kutumia nafasihii, kwakutoa, pendekezo, kama ifuatavyo:
Ombi; Mtuyeyote.Atakaekua tayari kushirikiana nami, ktk biashara,ya kuuza na kununua chuma za alminium.zinazotumika ktk ujenzi wanyumba kama vile milango,madirisha, na kdhlka. Mfumo wa biasharahii, uko mara mbili.
1; kununua chuma mojakwa moja toka china na kuja kuuza hapa nchini.
2; Au kufungua warkshop, na kuanza kula na ma engenere kwenye masight.
Ki vyovyote inalipa.
Nipotayari kutoa ushirikiano wangu wahalina mali ili kuhakikisha kwamba tuna toka. Mimi ni fundi napia nimuelekezaji mzuri wa taaluma hii.
Nina ndoto za kupokea wanafunzi na kuwafunza taaluma hii ila uwezo wangu mdogo.
Sina hata warkshop, nabaki kutumikia wachina tu. Wazawa mkoapi??,
nahitaji mzawa plse.sina uchoyo na taaluma.
Ombi; Mtuyeyote.Atakaekua tayari kushirikiana nami, ktk biashara,ya kuuza na kununua chuma za alminium.zinazotumika ktk ujenzi wanyumba kama vile milango,madirisha, na kdhlka. Mfumo wa biasharahii, uko mara mbili.
1; kununua chuma mojakwa moja toka china na kuja kuuza hapa nchini.
2; Au kufungua warkshop, na kuanza kula na ma engenere kwenye masight.
Ki vyovyote inalipa.
Nipotayari kutoa ushirikiano wangu wahalina mali ili kuhakikisha kwamba tuna toka. Mimi ni fundi napia nimuelekezaji mzuri wa taaluma hii.
Nina ndoto za kupokea wanafunzi na kuwafunza taaluma hii ila uwezo wangu mdogo.
Sina hata warkshop, nabaki kutumikia wachina tu. Wazawa mkoapi??,
nahitaji mzawa plse.sina uchoyo na taaluma.