e2n
JF-Expert Member
- Dec 24, 2015
- 636
- 790
Salamu wana jf.
Kwanza kabisa nipende tu kuanza Uzi wangu kwa kumshukuru mungu na wema na fadhiri zake. Anazotupa pumzi na uhai wake.
Pili niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi nipo mkoa wa pwani kuna furusa nimeiona inalipa sana hususani kwa sisi vijana ambao tunatafuta maisha. Nataka kufanya biashara ya mbao za miti ya porini za kutengenezea samani. Nimeona ni biashara nzuri ambayo ina faida sana. Mimi mtaji sina Ila natafuta mtu mwenye mtaji tushirikiane na Mimi katika shughuli hii. Kwa huku niliko mtaji unao hitajika ni kama 2,000,000 tu. Hivyo kama kuna mtu anataka kufanya biashara hii karibu.
Kwanza kabisa nipende tu kuanza Uzi wangu kwa kumshukuru mungu na wema na fadhiri zake. Anazotupa pumzi na uhai wake.
Pili niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi nipo mkoa wa pwani kuna furusa nimeiona inalipa sana hususani kwa sisi vijana ambao tunatafuta maisha. Nataka kufanya biashara ya mbao za miti ya porini za kutengenezea samani. Nimeona ni biashara nzuri ambayo ina faida sana. Mimi mtaji sina Ila natafuta mtu mwenye mtaji tushirikiane na Mimi katika shughuli hii. Kwa huku niliko mtaji unao hitajika ni kama 2,000,000 tu. Hivyo kama kuna mtu anataka kufanya biashara hii karibu.